Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hii imetulia sana, shujaa ni yule anayeweza kutumia siraha au mbinu za adui kubadilisha mwelekeo. Hivyo kutumia jina la Kapuku ili kuwafunika au kuwafanya wanaojiita wakongwe dhalili ni sahihi. Pamoja na kuwa mimi ni wa zamani kidogo JF lakini najiunga Timu Kapuku Udhalilishaji na kujikweza mwiko.
Karibu mkuu
Maelezo yapo post # 3
Mafaza WA Jf walizidi dharau
.........................................
 
Hii imetulia sana, shujaa ni yule anayeweza kutumia siraha au mbinu za adui kubadilisha mwelekeo. Hivyo kutumia jina la Kapuku ili kuwafunika au kuwafanya wanaojiita wakongwe dhalili ni sahihi. Pamoja na kuwa mimi ni wa zamani kidogo JF lakini najiunga Timu Kapuku Udhalilishaji na kujikweza mwiko.
Big up sana mkuu GITWA.
Umeonyesha mfano wa kuigwa.
 
Back
Top Bottom