UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,673
- 12,265
Mimi sijawahi kuona sistaa anayemfichia siri braza wake ,usiku mwema mamaDaah..... Ngoja niondoke sasa, usiku mwema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sijawahi kuona sistaa anayemfichia siri braza wake ,usiku mwema mamaDaah..... Ngoja niondoke sasa, usiku mwema
Nawe pia NahreneFanya haraka...... Usiku mwema kwenu nyote
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Yaani nyie acheni hizo. Comment zenu zinanirudisha na nimeshaagaHalafu huku kwa kapuku mwenzie wako wawili, uke wenza ila naona leo zamu ni ya mke mwingine ndomana Th Name anaaga aga kila mara hamalizi, kwenda anataka na kubaki anataka pia
Basi kaskazini tuko vizuri aisee ,yaani wanaume wawili kiroho safi wamekubali kuwa na dada yangu ??Halafu huku kwa kapuku mwenzie wako wawili, uke wenza ila naona leo zamu ni ya mke mwingine ndomana Th Name anaaga aga kila mara hamalizi, kwenda anataka na kubaki anataka pia
Ruksa my dearNaruhusiwa kuitafsiri? 😀
Tangulia mwalimu, sisi bado tupo tupo sanaView attachment 337295tulaleni sasa
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87]Te te nipe simu niwe 'ninakulogia' in
we si ulishaagaTangulia mwalimu, sisi bado tupo tupo sana
Kwahiyo we unazo mbili? Nyingine ni gani??Zote unaweka password moja kama mimi.
Moja kwenye PC nyingine kwenye simu[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hapa ni zaidi ya limbwata, kule kwa wakubwa kama lile chombezo limeendelea naomba uje unishtue nije kusomaAisee ukikaa kwenye huu uzi unashindwa kuangalia kinachoendelea jamii forum ,MMU sijui wako wapi ,ngoja kwanza nikachungulie jukwaa la wakubwa
Hapo ukituendekeza utakesha, bora ukalale tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Yaani nyie acheni hizo. Comment zenu zinanirudisha na nimeshaaga
Mmoja wa [emoji631] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Basi kaskazini tuko vizuri aisee ,yaani wanaume wawili kiroho safi wamekubali kuwa na dada yangu ??
Hawa ni wanaume wa Dar bila shaka
kwà jinsi nilivyo na furaha timu yangu kushinda, sàsa nmeamua kurudisha mashambulizi upya...!!!!!Zamaulid, sammoo, GITWA, youngblood usiku mwema. Sirudi tena sasa hivi
Love you more my dia sikuhujumu, mi na wewe tena?? Namuonyesha bro wako shemeji zake tuUsiku mwema Jimena hata kama unashirikiana na UncleBen kunihujumu. Nakupenda [emoji5] [emoji5] [emoji5]