Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Hilo liko wazi kabisaaaaNatumaini mpaka saa 6 uzi utakuwa umefikisha 6k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo liko wazi kabisaaaaNatumaini mpaka saa 6 uzi utakuwa umefikisha 6k
Kutesa kwa zamuRoho inaniuma,hii timu yangu sijui nani kairoga.
Za kwangu ni nzuri japo nimechelewa kufika, gari yangu iliharibikia njiani.Safi tu. Za wewe
nawakumbuka na twanga pepeta!!Kamsemo ka zamani hakoo....
teh teh teh wachache sana ndo tutakuwepo muda huo kushuhudia ilo tukio [emoji1] [emoji1]Natumaini mpaka saa 6 uzi utakuwa umefikisha 6k
Umuombe nani?? Acha uzembe piga mzigo mpaka 6k isomeTuombe iwe hivyo
Heri yako wewe mimi bado sijakubaliwa tu.Nafurahi sana. Listen to love songs
Mapenzi matamu hasa ukimpata yule anayekupenda
Hahabah kama kawaida tuUmuombe nani?? Acha uzembe piga mzigo mpaka 6k isome
Mnyama poriniiii sio uwanjaniNdo ivo...Mkia hukaa nyuma siku zote
.......................
wengine mtuachie na sisi tusio na uchumi bora bana!!Mimi ndo naweza kuhandle watoto wazuri kama wewe.
kuna simba wa mapambo yupo hapo karibu na kariakoo lakini alitokea porini!Mnyama poriniiii sio uwanjani
Wa afya njema, japo nimechelewa kufika.Salama mkuu,mzima weye.
Wataelewa tu wale mkiaSanaaaaaaaa[emoji108] [emoji108] [emoji108]
Mkuu watoto kama hawa nawaweza mimi tu.wengine mtuachie na sisi tusio na uchumi bora bana!!
vipi ulifungiwa ndani!!maana nyie mlio oa mnamashart mengi sana!Wa afya njema, japo nimechelewa kufika.
kwani mkuu unatumia kizizi?Mkuu watoto kama hawa nawaweza mimi tu.