Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Wifi lizziebettieMtaje jina basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wifi lizziebettieMtaje jina basi
Sababu namfahamuMkuu umejuaje kama ni dada!!!
Karibu nyumbani mkuu.Mpenzi Kapuku nimezunguka kutwa nzima sijapata wa kufanana na wewe hivyo nimerudi kwa furaha kwa kuwa wewe ni mpenzi bora maishani mwangu. Hakika sitakuacha nakupenda sana nitazidisha upendo kwako kwa kuwa wewe niliwazo langu. I LOVE U KAPUKUS.
[emoji511] chukua hiyo. Maana umenifurahisha
Yule nae wivu tu unamsumbuaDUNDERHEAD means foolish, stupid + idiot
yaani mpumbavu nini na nini sijui...(kichwa maji)
Ngedere Ungabu aliwahi kututusi ivo
Umeelewa sasa ?
...............................
Vipi leo tutashinda kweli?Nimekaribia kaka....
Sio PM mtafutie tigo pesa au voda pesaNgoja kwanza nimfuate PM,maana naona anachezea bahati.
Shakuitia anakujaNdio, nataka baby kapuku.
Terms and conditions are applied😱
Karibu sana. Mimi ndio prime minister humu. Subiri usajili wakoHaaaa! mshafika ukurasa 116??? nami kapuku nimechelewa kuripoti au???
Hahahaaaaa nakosaje cheo sasa kwa mfano na wakati Th Name amepewa cheo cha juu..Asante my my naona na una cheo kabisa hahahah
Hujachelewa.Haaaa! mshafika ukurasa 116??? nami kapuku nimechelewa kuripoti au???
Tupe habari za msataNimerudi salama toka msata japo anga lilichafuka kidogo natumaini kila kona na kila kapuku wote hakuna shida
Sizzya007 anakutafuta sana mkuu... Ana shida na hisia zinamwambia wewe ndo utaweza msaidia.. Karibu tenaNimerudi salama toka msata japo anga lilichafuka kidogo natumaini kila kona na kila kapuku wote hakuna shida
Wanadhani sie kujiita MAKAPUKU hilo jina linaleta uhalisia wa maisha yetu.Kuna wasomi humu sema tunajifanyaga mabwege tu
.............................
Huko tayari mkuu.Sio PM mtafutie tigo pesa au voda pesa