Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,553
Karibu Mabibo City kakaNimerudi salama toka msata japo anga lilichafuka kidogo natumaini kila kona na kila kapuku wote hakuna shida
.......................................
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu Mabibo City kakaNimerudi salama toka msata japo anga lilichafuka kidogo natumaini kila kona na kila kapuku wote hakuna shida
Hakuna shida mkuu,tulikumisi sana.Nimerudi salama toka msata japo anga lilichafuka kidogo natumaini kila kona na kila kapuku wote hakuna shida
Asante sanaKaribu kwetu
KaribuHaaaa! mshafika ukurasa 116??? nami kapuku nimechelewa kuripoti au???
Nimerudi salama toka msata japo anga lilichafuka kidogo natumaini kila kona na kila kapuku wote hakuna shida
Ana mambo mabaya sana.Ila huyu ngedere......!!!
Kwisha habari yake..Ninunulie Scania yoyote model iwe kuanzia R470 kwenda juu itoke Sweden sitaki maswala ya body imetengenezwa wapi wala wapi, ifike Sitimbi kisha ndo ulete hadithi
Ngedere dawa yake ni [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]Na leo kapita kasema
WHATS UP BITCHES
Tumemuignore karudi zake mbugani
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
..............................
Hakufai hukoTupe habari za msata
Ngedere dawa yake ni [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
Mie nikadhani anaongelea bichi ya ufukweni twende tukashindane kuogelea, kumbe alikuwa anatutukana!Na leo kapita kasema
WHATS UP BITCHES
Tumemuignore karudi zake mbugani
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
..............................
Wifi ana yako anamalizia kuandaaAsante sana
Nimemiss maeneoKaribu Mabibo City kaka
.......................................
Back to the forum safelyHakuna shida mkuu,tulikumisi sana.
Acha woga wewe!Aggyjay she is too classy asee!!! Naogopa!
[emoji205] [emoji205] [emoji205] [emoji205] [emoji205] [emoji205] [emoji205] [emoji204] [emoji204] [emoji204]Yule jamaa ana matatizo upstairs
Nitumie jina lake nimtest kwanza[emoji85] [emoji85] nione kama anakufaaWith all due respect!! Nna tatizo la kupata ubavu, ebu nipe tips za love spell nimpulizie mtu mmoja humu ndani😀😀
Acha hizo basi kiongozi. Mtoto huyo wala usitumie ndumbaAggyjay she is too classy asee!!! Naogopa!