Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,575
- 25,619
[emoji3] [emoji3] umeonaee...!!!!Kukukumbuka haisound vzr kama nimekumiss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji3] umeonaee...!!!!Kukukumbuka haisound vzr kama nimekumiss
Komaa mwisho wa siku anaweza hata kukuonea huruma...[emoji3] [emoji3] umeonaee...!!!!
yan hapa sisikii wala sioni, huenda uvumilivu wangu ukawa ndo kipimo kwake cha upendo wanguKomaa mwisho wa siku anaweza hata kukuonea huruma...
Halafu inabidi uombe usajili we ni kapuku kabisa aggyjayye anasema et tayar
Mna madoido aisee fimbo ya mbali haimpati nahreenkila time nakuwaza wewe, hadi nashindwa kufanya kazi kwa ufanisi kwa ajili yako wewe, plzz nihurumie..
nateseka kwa ajili yako Nahrene
[emoji30] [emoji30] [emoji29]
Hahahaha........Mna madoido aisee fimbo ya mbali haimpati nahreen
nina hakika nitafanikiwa tuuMna madoido aisee fimbo ya mbali haimpati nahreen
salama, karibu mkuuMchana mwema wanafamiliaaa....
Daah...... Asante aiseeMungu wape heri, The name, Bitoz, jimena. Kwa kufikiria hili lenye neema.
Tena uwaepushe na shari, kwa kutuletea hili lenye ufahari, kwani leo makapuku tutakula mpaka bata na kuku.
Tulikuwa hatulali kwa yao mingi maswali, kwani shule zitafunguliwa lini, wakati sote tuna uhuru humu jamvini.
GOD BLESS MAKAPUKU
tena mimi wamenitesa sana na maneno haya hadi walkuwa wanapelekea kuwatukana na kipigwa Ban mara kwa maraMungu wape heri, The name, Bitoz, jimena. Kwa kufikiria hili lenye neema.
Tena uwaepushe na shari, kwa kutuletea hili lenye ufahari, kwani leo makapuku tutakula mpaka bata na kuku.
Tulikuwa hatulali kwa yao mingi maswali, kwani shule zitafunguliwa lini, wakati sote tuna uhuru humu jamvini.
GOD BLESS MAKAPUKU
Jitahidi usipate ban tenatena mimi wamenitesa sana na maneno haya hadi walkuwa wanapelekea kuwatukana na kipigwa Ban mara kwa mara
Well said ..Mungu wape heri, The name, Bitoz, jimena. Kwa kufikiria hili lenye neema.
Tena uwaepushe na shari, kwa kutuletea hili lenye ufahari, kwani leo makapuku tutakula mpaka bata na kuku.
Tulikuwa hatulali kwa yao mingi maswali, kwani shule zitafunguliwa lini, wakati sote tuna uhuru humu jamvini.
GOD BLESS MAKAPUKU
yan mimi siipendi Jamii Forum kinoma ila Naipenda sana Jamii Makapuku..Jitahidi usipate ban tena
Nasema poleni sana kwa yote mliyoyapitia na Mungu azidi kuwatia moyo na hekima.Mungu wape heri, The name, Bitoz, jimena. Kwa kufikiria hili lenye neema.
Tena uwaepushe na shari, kwa kutuletea hili lenye ufahari, kwani leo makapuku tutakula mpaka bata na kuku.
Tulikuwa hatulali kwa yao mingi maswali, kwani shule zitafunguliwa lini, wakati sote tuna uhuru humu jamvini.
GOD BLESS MAKAPUKU
haha, mkuu kula ban ni kitu cha kawaida kwenye SN na pia inaonyesha ni namna gani mtu unapaswa kuzidhibiti jazba.yan mimi siipendi Jamii Forum kinoma ila Naipenda sana Jamii Makapuku..
sasa hv hata nkidiss sipigwi ban tena nahisi nmeshaanza kuwa mwenyeji zaidi ndo mana wananikaushia
ni kwel kupanik hakutakiwi ila mm nlikuwa nikiona wananishinda nguvu naanza kuwaporomoshea matusi kwa makusudi ili na wao niwaudhi kama walivyoniudhi mmhaha, mkuu kula ban ni kitu cha kawaida kwenye SN na pia inaonyesha ni namna gani mtu unapaswa kuzidhibiti jazba.