Makapuku Forum

Makapuku Forum

1460660327299.jpg

Kipanga, aina ya ulozi
 
Mzee mimi ndo founder
Makapuku hatupendwi na haiwezi fanywa sticky...siku ya 1 tu mods waliipiga kufuli ikiwa tyr na views 777 ....tukaanza upya
Tuendelee tu hivihivi hakuna tatizo
Ipo swaaf tu
Sticky huwekwa thread za wakongwe
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
.......................
Ila mods nao sometimes kama.....*
Ngoja tu nitulie nisije nikala Ban.
 
Mzee mimi ndo founder
Makapuku
hatupendwi na haiwezi fanywa sticky...siku ya 1 tu mods waliipiga kufuli ikiwa tyr na views 777 ....tukaanza upya
Tuendelee tu hivihivi hakuna tatizo
Ipo swaaf tu
Sticky huwekwa thread za wakongwe
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
.......................

hapo kwenye red umezingua, kwenye wingi wa watu usipende kujiweka mbele sana mkuu Bitoz
 
Back
Top Bottom