Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Love you babe love😍😍Ai lav yu mai lavli waifu, yu a ze best, mi n yu ni mpaka peponi. 😘😍
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Love you babe love😍😍Ai lav yu mai lavli waifu, yu a ze best, mi n yu ni mpaka peponi. 😘😍
😂 I love you.. Si kwa mahaba hayaHapana babe🤣🤣🤣
Kiranga komo 😂🤣Kiranga kama Kiranga🤣🤣🤣
Nipe hizo hela ninunue mwenyewe🤣🤣😂 I love you.. Si kwa mahaba haya
🤣🤣🤣🤣Kiranga komo 😂🤣
Naanzaje kwa mfano🤣🤣🤣🤣
Usikome bwana
Bora nikununulie, uuze uchukue hela yako, sio kukupa keshi. 🤣😂Nipe hizo hela ninunue mwenyewe🤣🤣
Hapanaaaa, nipe hela🤣🤣🤣Bora nikununulie, uuze uchukue hela yako, sio kukupa keshi. 🤣😂
... ha ahahahaha, nitaenda mitaa hiyo maana ndugu yako siku hizi nimenunua chombo cha moto na nimekifunga taa za ambyulensi (moja ya mafanikio yangu 2023, ni kununua chombo cha usafiri, watu wa mjini mnakiita bodaboda).Mzee wa tandahimba, newala, shimo la mungu, ukimuona mama yake harmonize msalimie, mwambie kanisusa mzazi mwenzie..
🤣😂
LOL! Maumivu ya kichwa.....tangazo la Panadol enzi hizo. Kwamba ukimpa keshi atashindwa kuibeba?Bora nikununulie, uuze uchukue hela yako, sio kukupa keshi. 🤣😂
....hujaacha tu kuangalia sinema za kifilipino veterani mwenzangu?Ai lav yu mai lavli waifu, yu a ze best, mi n yu ni mpaka peponi. 😘😍
....hapana bloangu, alikuwa anaonesha mfano, Shunie hakuna kitu anaweza kunirahisishia, hajawahi na sina ubaya naye, na anafurahia nikipigwa kibuti cha mbavu.Shunie akee unamkuwadia mai waifu kwa ndugu yangu.
We kiama itabidi uchomwe kwa makaa ya mawe. 🤣😂
....hata kama walitaka kumpamba mama, hii sifa sasa imezidi. kwa hiyo Samia ndiyo alikuwa infomer au snitch? Wanaongeza utata kwenye utata. Wamuache Samia awe Samia na sio kwenye kila kitu. IShu yenyewe hakuna aliyetajwa kuhusika na hayo madawa zaidi ya kutajwa waasia wawili.
Huenda anakuepusha na shari. 🤣....hapana bloangu, alikuwa anaonesha mfano, Shunie hakuna kitu anaweza kunirahisishia, hajawahi na sina ubaya naye, na anafurahia nikipigwa kibuti cha mbavu.
Sasa hivi naangalia KOMANDO KIPENSI....hujaacha tu kuangalia sinema za kifilipino veterani mwenzangu?
Sasa bro mtu unataka umpe mimba anakwambia we niwekee tu mbegu zako kwenye kopo,LOL! Maumivu ya kichwa.....tangazo la Panadol enzi hizo. Kwamba ukimpa keshi atashindwa kuibeba?
🤣😂 Achana na kifungashio, leta kwenye KIBEBEO.... ha ahahahaha, nitaenda mitaa hiyo maana ndugu yako siku hizi nimenunua chombo cha moto na nimekifunga taa za ambyulensi (moja ya mafanikio yangu 2023, ni kununua chombo cha usafiri, watu wa mjini mnakiita bodaboda).
Hata wewe nitakuletea korosho ndugu yangu, huna baya na mtu nakuletea bure unalipia usafiri na kifungashio. Au hutaki niziweke kwenye kifungashio?