Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20240504_084910_Opera%20Mini.jpg
 
Nakusalimu sana Makiwendo popote utapomuona Atoto mwambie amfikishie Shunie salamu zangu nampenda sana.

Uhali gani moudgulf nimatumaini yangu umzima wa afya hofu ni kwa Mideko maana sikuiz yupo busy sana kama Lee

Mshua master Tresor Mandala vp weekend inasemaje au imepooza kama uji wa Carasco Putin

Siku zote mshamba_hachekwi sasa sielewi kwanini Depal na udugu wake cocastic wanamcheka mtumishi Saint Anne

Mzee mwenzangu Grahams msalimie sana Lovelovie mwambie niko mwanza hapa pspf nimetoka kupokea kiinua mgongo changu.
Boss wangu Mjep nakusabahi popote ulipo nashkuru kwa offer ya full tank ya mafuta.

Papa mobimba raraa reree ukifa hauozi mkuu. Wasalimie wale wana wote wa misifa camp Kelsea
 
Nakusalimu sana Makiwendo popote utapomuona Atoto mwambie amfikishie Shunie salamu zangu nampenda sana.

Uhali gani moudgulf nimatumaini yangu umzima wa afya hofu ni kwa Mideko maana sikuiz yupo busy sana kama Lee

Mshua master Tresor Mandala vp weekend inasemaje au imepooza kama uji wa Carasco Putin

Siku zote mshamba_hachekwi sasa sielewi kwanini Depal na udugu wake cocastic wanamcheka mtumishi Saint Anne

Mzee mwenzangu Grahams msalimie sana Lovelovie mwambie niko mwanza hapa pspf nimetoka kupokea kiinua mgongo changu.
Boss wangu Mjep nakusabahi popote ulipo nashkuru kwa offer ya full tank ya mafuta.

Papa mobimba raraa reree ukifa hauozi mkuu. Wasalimie wale wana wote wa misifa camp Kelsea
Poker the Poker 🙏🙏
 
Nakusalimu sana Makiwendo popote utapomuona Atoto mwambie amfikishie Shunie salamu zangu nampenda sana.

Uhali gani moudgulf nimatumaini yangu umzima wa afya hofu ni kwa Mideko maana sikuiz yupo busy sana kama Lee

Mshua master Tresor Mandala vp weekend inasemaje au imepooza kama uji wa Carasco Putin

Siku zote mshamba_hachekwi sasa sielewi kwanini Depal na udugu wake cocastic wanamcheka mtumishi Saint Anne

Mzee mwenzangu Grahams msalimie sana Lovelovie mwambie niko mwanza hapa pspf nimetoka kupokea kiinua mgongo changu.
Boss wangu Mjep nakusabahi popote ulipo nashkuru kwa offer ya full tank ya mafuta.

Papa mobimba raraa reree ukifa hauozi mkuu. Wasalimie wale wana wote wa misifa camp Kelsea
Sijambo Poker habari yako
 
Nakusalimu sana Makiwendo popote utapomuona Atoto mwambie amfikishie Shunie salamu zangu nampenda sana.

Uhali gani moudgulf nimatumaini yangu umzima wa afya hofu ni kwa Mideko maana sikuiz yupo busy sana kama Lee

Mshua master Tresor Mandala vp weekend inasemaje au imepooza kama uji wa Carasco Putin

Siku zote mshamba_hachekwi sasa sielewi kwanini Depal na udugu wake cocastic wanamcheka mtumishi Saint Anne

Mzee mwenzangu Grahams msalimie sana Lovelovie mwambie niko mwanza hapa pspf nimetoka kupokea kiinua mgongo changu.
Boss wangu Mjep nakusabahi popote ulipo nashkuru kwa offer ya full tank ya mafuta.

Papa mobimba raraa reree ukifa hauozi mkuu. Wasalimie wale wana wote wa misifa camp Kelsea
Mkuu Poker mi niko shwari nadhani mkuu Mideko yuko vyedi maana namuona mitaani anamwaga comments na likes.
 
Nakusalimu sana Makiwendo popote utapomuona Atoto mwambie amfikishie Shunie salamu zangu nampenda sana.

Uhali gani moudgulf nimatumaini yangu umzima wa afya hofu ni kwa Mideko maana sikuiz yupo busy sana kama Lee

Mshua master Tresor Mandala vp weekend inasemaje au imepooza kama uji wa Carasco Putin

Siku zote mshamba_hachekwi sasa sielewi kwanini Depal na udugu wake cocastic wanamcheka mtumishi Saint Anne

Mzee mwenzangu Grahams msalimie sana Lovelovie mwambie niko mwanza hapa pspf nimetoka kupokea kiinua mgongo changu.
Boss wangu Mjep nakusabahi popote ulipo nashkuru kwa offer ya full tank ya mafuta.

Papa mobimba raraa reree ukifa hauozi mkuu. Wasalimie wale wana wote wa misifa camp Kelsea
Kwahiyo mimi ndio kipikipiki posta chako sio?
 
Hivi itakuwaje siku moja, umekaa zako, mara huyo mwanao wa miaka mitatu anayeitwa Junior anaanza kukwambia, mama unajua mimi zamani nilikuwa naitwa John.

Nilikuwa napenda sana kucheza mpira. Rafiki yangu alikuwa anaitwa Vincent, yeye alikuwa mchokozi sana. Nyumba yetu iliungua moto mimi nilikuwa nimelala nikafia humo.

Nimemiss sana wazazi wangu wa zamani, lini utanipeleka niwaone.. katika hali hiyo utafanyaje.Eti utafanyaje..!? Ikitokea hivyo hautakuwa mwenyewe. Kuanzia mwanzoni mwa miaka 1960, Chuo Kikuu cha Virginia huko Marekani kimekuwa kikifuatilia na kurekodi matukio ya namna hiyo.

Mpaka sasa Chuo hicho kimekusanya taarifa za zaidi ya watoto 2,200 ambao wanakumbuka matukio ya maisha ya zamani.

Katika matukio mengi, watoto ambao wanakumbuka matukio yaliyotokea miaka mingi nyuma, wengi wanatoa taarifa sahihi ambazo wataalamu wanapozifuatilia wanakuta kweli mtu wa namna hiyo alikuwepo na hata namna alivyofariki ni kama alivyokuwa anaeleza yule mtoto.

Bado wataalam hawajajua vizuri ni nini kinachosababisha hali hii itokee kwa baadhi ya watoto, kwa sababu huwa inatokea hata kwenye watoto kutoka katika familia ambazo hazina imani ya umwilisho(reincarnation).

Wataalam wanashauri inapotokea hali kama hiyo usimchokonoe zaidi mwanao ili kueleza kwa sababu hiyo inaweza kusababisha mtoto kutoa majibu ya kutunga.

Na kama itatokea ana sisitiza anataka umpeleke kwa wazazi wake wa zamani, mwambie hayo yalikuwa mambo ya zamani yameisha pita...vipi ikikutokea utafanyaje utakwenda kutambika au utakanyaga mafuta na kukemea mapepo....!?
Screenshot_20240504_153927_InstaPro%20.jpg
 
Wafanyabiashara Soko la Mnarani maarufu Loliondo wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani wameshindwa kukunjua miavuli wanayoitumia kujikinga na jua na mvua wakati wakiuza bidhaa zao.

Hii ni kutokana na upepo mkali ulioanza usiku wa kuamkia leo Jumamosi Mei 4, 2024 unaotokana na Kimbunga Hidaya.

"Tunaogopa isije ikabebwa na upepo, tumechimbia miavuli yetu na hatuikunjui ngoja tuangalie hali itakavyokuwa baadaye," amesema Elizabeth Maendaenda.

Yasini Hassan amesema hofu waliyonayo ni iwapo mvua zitaanza kunyesha na hali ya upepo iliyopo.

"Siku zote kukiwa na mvua miavuli yetu huwa inatusaidia kujikinga lakini kwa leo upepo ni mkali sijui mvua ikija tutafanya nini," amesema.

Noel Msamati amesema uwepo wa kimbunga umesababisha baadhi ya wafanyabiashara kushindwa kufika kuuza bidhaa zao wakihofia hali iliyopo.
Screenshot_20240504_154736_InstaPro%20.jpg
 
Boti zinazofanya safari zake kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar zimesitisha huduma hiyo kufuatia hali mbaya ya hewa.

Mwananchi Digital imefika eneo la Feri jijini Dar es Salaam na kushuhudia abiria wakirudi baada ya mamlaka kutangaza kuhairishwa kwa safari hizo.

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) tangu juzi Alhamisi Mei 2, 2024 ilitahadharisha kuwapo kwa kimbunga hidaya ambacho kinaikaribia Pwani ya Bahari ya Hindi hivyo kuwataka watumiaji wa bahari hiyo kuchukua tahadhari.
Screenshot_20240504_154929_InstaPro%20.jpg
 
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema hadi kufikia saa 3 usiku wa jana May 03,2024, Kimbunga “HIDAYA” kilikuwa katika eneo la bahari takriban kilomita 230 kutoka pwani ya Kilwa (Mkoa wa Lindi) na kilomita 170 kutoka pwani ya Mafia kikiwa na mgandamizo wa hewa wa kiasi cha 985 hPa na kasi ya upepo unaofika kilomita 120 kwa saa ambapo leo May 04,2024 kinatarajiwa kuendelea kusababisha matukio ya vipindi vya mvua kubwa na upepo mkali katika maeneo ya ukanda wa pwani hususan mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani na Dar es salaam pamoja na kisiwa cha Unguja na maeneo ya jirani.

TMA imesema kama ilivyotabiriwa awali, uwepo wa kimbunga “HIDAYA” karibu na pwani ya Tanzania umeendelea kutawala mifumo ya hali ya hewa kwa baadhi ya maeneo ambapo katika kipindi cha saa 12 zilizopita, vipindi vya mvua kubwa na upepo mkali vimeendelea kujitokeza, ikitolea mfano katika vituo vya hali ya hewa vya Mtwara, Kilwa, Zanzibar na Dar es Salaam ambako upepo mkali unaozidi kilomita 40 kwa saa umeweza kupimwa katika nyakati tofauti kuanzia mchana wa jana.

“Vile vile katika kipindi hicho, vipindi vya mvua kubwa vimeweza kushuhudiwa katika maeneo ya Mtwara na Lindi ambapo hadi kufikia saa 3 usiku jana kituo cha Mtwara kiliripoti milimita 61 za mvua dani ya masaa 6”

Matarajio ni kwamba kimbunga “Hidaya” kitaendelea kusogea kuelekea karibu kabisa na ukanda wa pwani ya Tanzania kuanzia usiku wa jana na mchana wa leo tarehe 04 Mei 2024 kabla ya kuanza kupungua nguvu yake kuelekea siku ya Jumapili tarehe 05 Mei 2024, siku ya leo tarehe 04 Mei 2024, kimbunga “HIDAYA” kinatarajiwa kuendelea kusababisha matukio ya vipindi vya mvua kubwa na upepo mkali katika maeneo ya ukanda wa pwani, vilevile matukio ya mawimbi makubwa baharini yanatarajiwa kuendelea kujitokeza katika ukanda wote wa mwambao wa pwani ya Bahari ya Hindi”
Screenshot_20240504_155103_InstaPro%20.jpg
 
Back
Top Bottom