Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ila Dogo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani sisi Dada zako ndoa hatuna na JF tupo?[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]itakua shem angu hana wivu! Wee mwenyewe unaona nlivyokua active humu,

Ila shem ako ana wivuu jamanii, utadhani tunajuana leo, kumbe tumeshazoeana kitambooo.

Dyadya wengine hawana ndoa, niamini mie [emoji23][emoji23][emoji23]

Ndoa mchezooo, watuachee wenye nazooo,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]itakua shem angu hana wivu! Wee mwenyewe unaona nlivyokua active humu,

Ila shem ako ana wivuu jamanii, utadhani tunajuana leo, kumbe tumeshazoeana kitambooo.

Dyadya wengine hawana ndoa, niamini mie [emoji23][emoji23][emoji23]

Ndoa mchezooo, watuachee wenye nazooo,
🤣🤣🤣Sawa Dogo...
Salamu kwa Shem lake..
 
Mchana mwema Makapuku
693797174215.jpg
 
Hellow Makapukuuu!!!

Nimekumic mnoooo Makiwendo dyadya ake, afu Shunie shoggie ake. [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]

Lee wee baba popote ulipoo, nyoosha mkono juu, nina jambo nawee. Mbona hatariiiiii.

He he nimekumiss pia dear karibu mwayaaaa Makiwendo auntieee niitie Lee [emoji1787][emoji1787][emoji1787] anaitwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]itakua shem angu hana wivu! Wee mwenyewe unaona nlivyokua active humu,

Ila shem ako ana wivuu jamanii, utadhani tunajuana leo, kumbe tumeshazoeana kitambooo.

Dyadya wengine hawana ndoa, niamini mie [emoji23][emoji23][emoji23]

Ndoa mchezooo, watuachee wenye nazooo,

Ila Dogo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani sisi Dada zako ndoa hatuna na JF tupo?[emoji28]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] auntie mume wa cocs kama wa mtani wako hataki awe active jf yaani nikimention hapa nitakula kichambo
 
Back
Top Bottom