Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...duh, kumbe nimeachwa! Yaani nimeachishwa, mbona nakuwa wa mwisho kujua haya mambo binafsi.🤣🤣🤣🤣
Shemeji lala bwana, hata kama umeachwa bora ulale tu.
Nipo anko, nimetoka Mtwara, nipo Dodoma. Nikija mjini nakuletea Dodoma wine imechanganywa na K VantOyaaaaaa ankooooo
Sawa sawa unamuacha tu apuyange
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee kuwezaa shogileee?Ogopa tuuuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unataka picha ya muhusika muombe mwenyewe
Cna no ake, na PM sitaki, nataka kujadili nae hapa hapa, c unajua unafiki sio shida zangu?Mpigie kwa no yake au mtafute pm kwake
Evidence please!
SawaLala
Weeeeh!! Unalala hivyo una raha gani?Kuna niniiiii unachoniitia [emoji1787][emoji1787]
Wastaafu sio watu shemeji....duh, kumbe nimeachwa! Yaani nimeachishwa, mbona nakuwa wa mwisho kujua haya mambo binafsi.
Asubuhi asubuhi hii wakitoka jumuiya tu naenda kuuliza. Ila nimeumia sana, sikuwa najua kama nimeachika
Kwani umekesha!!Evidence please!
Duh, kwa kweli inauma sana, hivi Tresor Mandala anaweza kuwa miongoni mwa waliojua jambo lililonikuta?Wastaafu sio watu shemeji.
Ee bwana😂Kwani umekesha!!