Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha, familia ipi?Unatukana familia sio!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha, familia ipi?Unatukana familia sio!!
Bwasheee ni nani hapo sasa?🤣🤣🤣Nimemmiss tu bwasheee! 😜
HahahahahaBwasheee ni nani hapo sasa?🤣🤣🤣
Msubiri anakuja🤣🤣Bwasheee ni nani hapo sasa?🤣🤣🤣
Ndio wamekuachia sio?I love you too mubebe.
Naona umefichwa ukafichika.Good morning madam
Basi sawa!Hahahahaha, familia ipi?
HahahahahaBasi sawa!
Njema, habari yako mkuuHanari za uzima ndugu wana KAPUKU, ni j3, pilika pilika zimeanza upya
Nilifichwa Tanga, leo nimepewa simu kwa muda ili nisilimie ndugu na jamaa zangu kisha simu nayo itafichwa tena🤣🤣🤣Naona umefichwa ukafichika.
Hahahahaha..hiii swahiba sikuiona ,🥰😍🥰😍😍😍😍😍Lala na hii Swahiba...
Alamsiki..
Alikuwa mwamba kwelikweli huyu jamaaJe wajua inakujia na shunie shunie View attachment 3046000
Muda wa maankuliMchana mwema
Salama namshukuru muumba, amenibariki j3 nyingine na kipenzi changu AtotoNjema, habari yako mkuu
Madikodiko, mapokopoko, masotojo.Muda wa maankuli
HahahahahaMadikodiko, mapokopoko, masotojo.
Kuna aina nyingi za kufichwa ila kuna aina fulani we mfichwaji unawaomba waliokuficha wasipate wazo la kukuachia 😄 🤣 😂Nilifichwa Tanga, leo nimepewa simu kwa muda ili nisilimie ndugu na jamaa zangu kisha simu nayo itafichwa tena🤣🤣🤣