Makapuku oaneni, ili faraja yenu iwe ni kuwaona watoto.

Makapuku oaneni, ili faraja yenu iwe ni kuwaona watoto.

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Katika zama hizi ukiwa na kipato cha kukuwezesha kulala pazuri, kuvaa vizuri, kula vizuri na kunywa kwa mwezi, halafu upo singo ni vema uishi peke yako tu. Utapata kila wanachokipata watu walioko kwenye ndoa.

Kama ni mdada utajipamba vizuri na utaonekana na wanaume kisha watakupa huduma ya mgegedo.

Kama ni mkaka una chenji zako.mfukoni zinazokuwezesha kutoka out, huwezi kumkosa mdada wa kutuliza hisia zako.

Ya nini kuingia kwenye kifungo cha ndoa??

Bila shaka ndoa zipo kwa ajili ya watu hohehahe, kula kwa shida, kulala kwa tabu na kila kitu shida. Hawa ndiyo wanahitaji ndoa ili wafarijiane na faraja yao inajengwa na uwepo wa watoto.
 
Kila kitu na wakati wake, ingawa mimi ni principle bachelor, ila kuna mazingira unaona hili swala halikwepeki
Pata picha umezidiwa saa saba za usiku huwezi kushika hata simu?
Kuna muda unarudi umechoka hakuna wa kukusaidia
kuna muda akili ime stuck na unaitaji kusililiza mawazo ya mtu mwingine.
Cha msingi ni kujua namna ya kuishi nao basi
 
Ktk zama hizi ukiwa na kipato cha kukuwezesha kulala pazuri, kuvaa vizuri, kula vizuri na kunywa kwa mwezi, halafu upo singo ni vema uishi peke yako tu. Utapata kila wanachokipata watu walioko kwenye ndoa.

Kama ni mdada utajipamba vizuri na utaonekana na wanaume kisha watakupa huduma ya mgegedo.

Kama ni mkaka una chenji zako.mfukoni zinazokuwezesha kutoka out, huwezi kumkosa mdada wa kutuliza hisia zako.

Ya nini kuingia kwenye kifungo cha ndoa??

Bila shaka ndoa zipo kwa ajili ya watu hohehahe, kula kwa shida, kulala kwa tabu na kila kitu shida. Hawa ndiyo wanahitaji ndoa ili wafarijiane na faraja yao inajengwa na uwepo wa watoto.
Ndio akili za vijana wa CCM zinapoishia hapa. Nonsense
 
Kila kitu na wakati wake, ingawa mimi ni principle bachelor, ila kuna mazingira unaona hili swala halikwepeki
Pata picha umezidiwa saa saba za usiku huwezi kushika hata simu?
Kuna muda unarudi umechoka hakuna wa kukusaidia
kuna muda akili ime stuck na unaitaji kusililiza mawazo ya mtu mwingine.
Cha msingi ni kujua namna ya kuishi nao basi
Pata picha umezidiwa saa saba za usiku huwezi kushika hata simu? Kuna wenzio walitelekezwa na wake zao wakiwa wanaumwa. Biblia inasema amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu.

Kuna muda unarudi umechoka hakuna wa kukusaidia. Kuna wanawake ni wajinga ukifika umechoka unakuta naye kanuna mpk kachoka.

kuna muda akili ime stuck na unaitaji kusililiza mawazo ya mtu mwingine. Bora uangalie TV ama usikilize redio.

Cha msingi ni kujua namna ya kuishi nao basi. Haya ni maneno tu na yatabakia kuwa maneno. Hakuna chuo kinachofundisha hizo namna ya kuishi nao.
 
Ktk zama hizi ukiwa na kipato cha kukuwezesha kulala pazuri, kuvaa vizuri, kula vizuri na kunywa kwa mwezi, halafu upo singo ni vema uishi peke yako tu. Utapata kila wanachokipata watu walioko kwenye ndoa.

Kama ni mdada utajipamba vizuri na utaonekana na wanaume kisha watakupa huduma ya mgegedo.

Kama ni mkaka una chenji zako.mfukoni zinazokuwezesha kutoka out, huwezi kumkosa mdada wa kutuliza hisia zako.

Ya nini kuingia kwenye kifungo cha ndoa??

Bila shaka ndoa zipo kwa ajili ya watu hohehahe, kula kwa shida, kulala kwa tabu na kila kitu shida. Hawa ndiyo wanahitaji ndoa ili wafarijiane na faraja yao inajengwa na uwepo wa watoto.
Unaonekana reasoning yako ni ya kiwango cha chini sana kijana na usipojiangalia unaweza kuta unaanza kutamani kuolewa
 
Ktk zama hizi ukiwa na kipato cha kukuwezesha kulala pazuri, kuvaa vizuri, kula vizuri na kunywa kwa mwezi, halafu upo singo ni vema uishi peke yako tu. Utapata kila wanachokipata watu walioko kwenye ndoa.

Kama ni mdada utajipamba vizuri na utaonekana na wanaume kisha watakupa huduma ya mgegedo.

Kama ni mkaka una chenji zako.mfukoni zinazokuwezesha kutoka out, huwezi kumkosa mdada wa kutuliza hisia zako.

Ya nini kuingia kwenye kifungo cha ndoa??

Bila shaka ndoa zipo kwa ajili ya watu hohehahe, kula kwa shida, kulala kwa tabu na kila kitu shida. Hawa ndiyo wanahitaji ndoa ili wafarijiane na faraja yao inajengwa na uwepo wa watoto.
Jidanganye
 
Kwanza gharama ni kubwa kupata penzi la temporary, hakuna demu aliye tayari kutoa penzi bure. Kupata watoto ni muhimu ili kuendeleza kizazi. Hayo mapenzi ya rejareja ni ghali na hayana utulivu
 
Msiingie kwenye msafara wa kuzuia watu kuoana. Muunganiko wa mwanaume na mwanamke ndio kila kitu duniani, msidanganyike. Changamoto za maadili hazitoisha
 
Ktk zama hizi ukiwa na kipato cha kukuwezesha kulala pazuri, kuvaa vizuri, kula vizuri na kunywa kwa mwezi, halafu upo singo ni vema uishi peke yako tu. Utapata kila wanachokipata watu walioko kwenye ndoa.

Kama ni mdada utajipamba vizuri na utaonekana na wanaume kisha watakupa huduma ya mgegedo.

Kama ni mkaka una chenji zako.mfukoni zinazokuwezesha kutoka out, huwezi kumkosa mdada wa kutuliza hisia zako.

Ya nini kuingia kwenye kifungo cha ndoa??

Bila shaka ndoa zipo kwa ajili ya watu hohehahe, kula kwa shida, kulala kwa tabu na kila kitu shida. Hawa ndiyo wanahitaji ndoa ili wafarijiane na faraja yao inajengwa na uwepo wa watoto.
Braza ushajikatia tamaa
 
Pata picha umezidiwa saa saba za usiku huwezi kushika hata simu? Kuna wenzio walitelekezwa na wake zao wakiwa wanaumwa. Biblia inasema amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu.

Kuna muda unarudi umechoka hakuna wa kukusaidia. Kuna wanawake ni wajinga ukifika umechoka unakuta naye kanuna mpk kachoka.

kuna muda akili ime stuck na unaitaji kusililiza mawazo ya mtu mwingine. Bora uangalie TV ama usikilize redio.

Cha msingi ni kujua namna ya kuishi nao basi. Haya ni maneno tu na yatabakia kuwa maneno. Hakuna chuo kinachofundisha hizo namna ya kuishi nao.
Kama kila kitu unasubiri chuo, endelea kusubiri mtaala watakutengenezea
 
  • Kicheko
Reactions: G4N
Back
Top Bottom