Upendo iswa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 345
- 548
Hata hao makarani hawana siriWajumbe hawanaga SIRI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hao makarani hawana siriWajumbe hawanaga SIRI
Wametoa hadi connectionNdo maana wengine hawajafikiwa video zao zipo nyingi mtandaoni
Lakini hawakujuiHata hao makarani hawana siri
Ipo wapi aseeWametoa hadi connection
Umewaza kama mimi mkuu...hayo maswal yao ni keroHiyo kazi ingeweza kufanya na wajumbe wa nyumba kumi kwa kuwapelekea wananchi dodoso siku chache kabla wazijaze. Swali la tarehe 23 August ni moja tu. Swali la kwanza. Wajumbe wangezikusanya na kuzihakiki tu ndio ziingizwe kwenye vishikwambi.
Hoja dhaifu sana hii..mtu yeyote wa Jinsia yeyote akiwa na uwezo anaweza kufanya chochote tuu mbona wapo Wanawake unaona akili zao zipo sawa kuliko Wanaume..Hii nchi ilikuwa bado haijawa tayari kuongozwa/kutawaliwa na mwanamke. Ni vile tu imetokea.
Inaweza ikawa hoja dhaifu kwako, halafu kwangu ikawa ni hoja yenye nguvu. Hivyo hatuwezi wote kuwa na mtazamo sawa.Hoja dhaifu sana hii..mtu yeyote wa Jinsia yeyote akiwa na uwezo anaweza kufanya chochote tuu mbona wapo Wanawake unaona akili zao zipo sawa kuliko Wanaume..
Ujinga ni mzigo sana.Jitahidi kuficha ujingaHiyo kazi ingeweza kufanya na wajumbe wa nyumba kumi kwa kuwapelekea wananchi dodoso siku chache kabla wazijaze.
Swali la tarehe 23 August ni moja tu. Swali la kwanza. Wajumbe wangezikusanya na kuzihakiki tu ndio ziingizwe kwenye vishikwambi.