Makatazo yasiyo ya kisheria

Makatazo yasiyo ya kisheria

ichumu lya

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2016
Posts
2,651
Reaction score
2,790
IGP Sirro kuzuia watu kuhoji juu ya hatima ya Usalama wetu anatumia kifungu gani cha sheria?
Je Hatuwezi kufungua Shauri Mahakamani kupinga Makatazo hayo?
Mahakama ndio chombo pekee cha kutafsiri sheria Je wanasheria wanalichukuliaje swala hili.
 
Back
Top Bottom