ichumu lya JF-Expert Member Joined Aug 11, 2016 Posts 2,651 Reaction score 2,790 Oct 22, 2018 #1 IGP Sirro kuzuia watu kuhoji juu ya hatima ya Usalama wetu anatumia kifungu gani cha sheria? Je Hatuwezi kufungua Shauri Mahakamani kupinga Makatazo hayo? Mahakama ndio chombo pekee cha kutafsiri sheria Je wanasheria wanalichukuliaje swala hili.
IGP Sirro kuzuia watu kuhoji juu ya hatima ya Usalama wetu anatumia kifungu gani cha sheria? Je Hatuwezi kufungua Shauri Mahakamani kupinga Makatazo hayo? Mahakama ndio chombo pekee cha kutafsiri sheria Je wanasheria wanalichukuliaje swala hili.
ichumu lya JF-Expert Member Joined Aug 11, 2016 Posts 2,651 Reaction score 2,790 Oct 22, 2018 Thread starter #2 Awasubiri wataalamu wa sheria.
E Elibariki Makundi Member Joined Aug 6, 2016 Posts 29 Reaction score 18 Oct 22, 2018 #3 Wananfuata mkuu wao, wa nchi ya kuvunja katiba, kutoa matamko bila kujali sheria inasemaje,
B BEHOLD JF-Expert Member Joined Nov 17, 2013 Posts 5,056 Reaction score 10,721 Oct 24, 2018 #4 Unaweza kufungua kesi for judicial opinion.