Makato ya CRDB Bank ni makubwa

Makato ya CRDB Bank ni makubwa

Grand Canyon

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2020
Posts
545
Reaction score
1,191
Sikuwahi kujishughulisha kujua makato ya kutoa pesa kwa wakala wa CRDB. Leo nimeenda kwa wakala kutoa Tsh 120,000 nikapewa kimashine nijihudumie baada ya kuweka kadi, Nimeshtuka kuona makato ni Tsh 2,966.

Je, ATM ni nafuu zaidi ili niachane na mawakala au ni yale yale?
 
Sikuwahi kujishughulisha kujua makato ya kutoa pesa kwa wakala wa CRDB. Leo nimeenda kwa wakala kutoa Tsh 120,000 nikapewa kimashine nijihudumie baada ya kuweka kadi, Nimeshtuka kuona makato ni Tsh 2,966.

Je, ATM ni nafuu zaidi ili niachane na mawakala au ni yale yale?
Makubwa ukilinganisha na wapi ??

Equity ukitoa kwa wakala chini ya Tsh 250,000 wanakata Tsh 3,300.

Ukitoa zaidi ya 260,000 wanakata Tsh 4,000.

Jambo la msingi tumia ATM ( tena CRDB wanazo nyingi tu, ni ujuha wako tu kwenda kwa Wakala halafu unakuja kulalamika kama mbweha humu )
 
Makubwa ukilinganisha na wapi ??

Equity ukitoa kwa wakala chini ya Tsh 250,000 wanakata Tsh 3,300.

Ukitoa zaidi ya 260,000 wanakata Tsh 4,000.

Jambo la msingi tumia ATM ( tena CRDB wanazo nyingi tu, ni ujuha wako tu kwenda kwa Wakala halafu unakuja kulalamika kama mbweha humu )
Kutiki mkaruka? Mbona umekuwa mkali kama mbogo jamani!?
 
Sawa nimeelewa. Isitoshe ATM iko mita 600 tu kutoka home. Ni uzembe kwa sababu wakala yuko mita 10 tu kutoka home.
Mimi natumia Equity. Yaani ni sawa tu hawana ATM. Maana wanazo 3 na ukizikuta zinafanya kazi shukuru Mungu.

Makato ya kwenye ATM ni Tsh 1,000 ila mpaka upande daladala kwenda na kurudi. Ndio maana mara nyingi wengi hutumia Wakala.

Sada bank kama NMB au CRDB kutoa kwa Wakala ni uzembe, labda uwe kijijini huko.
 
Makubwa ukilinganisha na wapi ??

Equity ukitoa kwa wakala chini ya Tsh 250,000 wanakata Tsh 3,300.

Ukitoa zaidi ya 260,000 wanakata Tsh 4,000.

Jambo la msingi tumia ATM ( tena CRDB wanazo nyingi tu, ni ujuha wako tu kwenda kwa Wakala halafu unakuja kulalamika kama mbweha humu )
Mkaruka spare my ribs
 
Kuna siku nimetoa nikastuka hayo makato, yaani kutoa pesa kwa wakala ni nehiii labda kuweka tu.
 
Sikuwahi kujishughulisha kujua makato ya kutoa pesa kwa wakala wa CRDB. Leo nimeenda kwa wakala kutoa Tsh 120,000 nikapewa kimashine nijihudumie baada ya kuweka kadi, Nimeshtuka kuona makato ni Tsh 2,966.

Je, ATM ni nafuu zaidi ili niachane na mawakala au ni yale yale?
Mimi huwa naenda kwa wakala kama ATM iko umbali wa bodaboda napo naangalia kiasi.ATM ni rahisi zaidi ila kwa wakala ni convinient zaidi kwa sababu wakala wako karibu kuliko ATM.so kama ATM iko karibu achana na wakala

Kitu cha pili tunachotakiwa kuelewa ,bei za kutoa fedha toka kwa wakala crdb hazina tofauti sana na zile za kutoa fedha mpesa au tigo pesa.Kitu kingine hata kutoa hela counter ya benki kwenyewe pia ni ghali zaidi ya ATM
 
Sikuwahi kujishughulisha kujua makato ya kutoa pesa kwa wakala wa CRDB. Leo nimeenda kwa wakala kutoa Tsh 120,000 nikapewa kimashine nijihudumie baada ya kuweka kadi, Nimeshtuka kuona makato ni Tsh 2,966.

Je, ATM ni nafuu zaidi ili niachane na mawakala au ni yale yale?
Mimi nimegundua hilo jana kuwa ukituma 200,000 wanakata 6,000 plus
 
Back
Top Bottom