Makato ya CRDB Bank ni makubwa

Makato ya CRDB Bank ni makubwa

miamala ya simu inachangia sana kuua biashara inaumiza sana, unakuta kwa siku unafanya miamala 20 hizo 7500 za kutuma na kutokea ukizijumlisha ni fedha sana na huwenda ndio faida yenyewe. Online banking ni suluhisho sijui tunakwama wapi

Ndiyo maana ya biashara bwana! Duniani hakuna kitu kikawa kizuri halafu kiwe mteremko au bure! Biashara maana yake ni kunyoana kavu kavu!
 
Nadhan kitu kizur wangeweka namna mtu kwa siku unavyozid kufany miamara tozo ipungue
 
Je Ukiwa master card ya nmb ni bora kutoa kwenye ATM za crdb au ni bora ukatolee kwa wakala wa NMB? Wapi makato yake yanakua makubwa?

Hapa nazungumzia maeneo ambayo bank yako husika haipo karibu
Majuzi hapa nilienda NMB kutoa hela ATM zikawa zinazingua..ikabdi niende CRDB kwa vile kadi yangu ni MASTERCARD..niikuwa na laki 3 na 10..nikatoa laki 3..kuja kucheki salio(thru NMB app)nakuta nimebakiwa na 2000 na kitu..yani kupata hyo huduma nilikatwa 7000+

So usije jaribu hii..labda kama option zote zimeshindikana
 
Daa juzi nimetoa kwa wakala wa

Crdb sh laki 8

Ina maana wamenikata kiasi gani ?

Maana hata sikuuliza bei
 
Majuzi hapa nilienda NMB kutoa hela ATM zikawa zinazingua..ikabdi niende CRDB kwa vile kadi yangu ni MASTERCARD..niikuwa na laki 3 na 10..nikatoa laki 3..kuja kucheki salio(thru NMB app)nakuta nimebakiwa na 2000 na kitu..yani kupata hyo huduma nilikatwa 7000+

So usije jaribu hii..labda kama option zote zimeshindikana
Kwahiyo ni bora uende kwa wakala wa bank husika kuliko ukatoa kwenye ATM na bank tofaut
 
Sikuwahi kujishughulisha kujua makato ya kutoa pesa kwa wakala wa CRDB. Leo nimeenda kwa wakala kutoa Tsh 120,000 nikapewa kimashine nijihudumie baada ya kuweka kadi, Nimeshtuka kuona makato ni Tsh 2,966.

Je, ATM ni nafuu zaidi ili niachane na mawakala au ni yale yale?
nchi ya wanyonge hii
wana mambo mengi ya kulalamikia
 
hizi njia zimewekwa jirani kama option
ukiona huduma fulani ni gharama kuitumia ,tumia mmbadala wake ambayo ni nafuu
Cha muhimu tuwe tunajumuisha gharama za usafiri na risk nyingine pia katika kufanya maamuzi
 
Miamala ya bank tunapigwa Sana. Mimi sijawahi kujaribu kujua makato sababu akaunti inakuwa na pesa kuanzia Malaki Hadi milioni. Tofauti kwenye mpesa hata huwa sitaki kuuliza salio sababu naona ntaharibu bajeti ya kununua bando ikipungua 50 ya kuuliza salio!!!
 
Kwanini bank wasingekuwa wanakata mteja mara moja tuu? Ukiweka hela yako wakae nayo wanaikata na siku ukienda kuitoa wanakukata tena. Ukiwa na 20,000 ukaweka bank miezi miwili utaambulia 10,000 tuu ukienda kuitoa
 
Benk kwann ukitoa pesa wanakuletea tu msg ya kiwango ulichotoa kilichobak mpk uulize wakukate hii haijakaa poa kabs
 
Sikuwahi kujishughulisha kujua makato ya kutoa pesa kwa wakala wa CRDB. Leo nimeenda kwa wakala kutoa Tsh 120,000 nikapewa kimashine nijihudumie baada ya kuweka kadi, Nimeshtuka kuona makato ni Tsh 2,966.

Je, ATM ni nafuu zaidi ili niachane na mawakala au ni yale yale?
Kwani tulipokuwa tunalia na tozo wenzetu mlikuwa nchi gani?
 
Back
Top Bottom