Makato ya Luku yanatisha! Angalia hapa

Makato ya Luku yanatisha! Angalia hapa

kiraza

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2016
Posts
356
Reaction score
487
Hii ni zaidi ya kuisoma namba, sio hali ya kawaida kabisa!. Inatisha! NB: Mimi ni Mpangaji.

20210821_085908.jpg
 
Hii ni zaidi ya kuisoma namba, sio hali ya kawaida kabisa!. Inatisha! NB: Mimi ni Mpangaji. Kwa maana Hii Kwa Tsh 30000 nitapata Units 27! Ili hali zamani nilikuwa napata Units 84!

View attachment 1900995
Wenye nchi wanasema makato yameanza tangu 1.7.2021 .
Sasa huu ni mwezi wa 8.
Wanakata ya miezi miwili ambayo ni 2000/=.
Na wanashauri tuvumilie kwan mwezi wa9 watakata 1000 kwa mwezi...
Pia wanawashauri na kuwashawishi ambao hawajaingiza umeme,waingize Mara moja ili tujenge nchi yao..
Ushauri wangu kwa tusiopenda hizi tozo.tusinunue umeme ila tulipie maji tu,.
 
Wenye nchi wanasema makato yameanza tangu 1.7.2021 .
Sasa huu ni mwezi wa 8.
Wanakata ya miezi miwili ambayo ni 2000/=.
Na wanashauri tuvumilie kwan mwezi wa9 watakata 1000 kwa mwezi...
Pia wanawashauri na kuwashawishi ambao hawajaingiza umeme,waingize Mara moja ili tujenge nchi yao..
Ushauri wangu kwa tusiopenda hizi tozo.tusinunue umeme ila tulipie maji tu,.
Kwa hiyo kodi ya Jengo ni tsh 1000 kwa mwezi?
 
Nahamia Afghanistan soon.

Truth be told.... Kuingoza nchi so sawa na kuingoza familia.
 
Wenye nchi wanasema makato yameanza tangu 1.7.2021 .
Sasa huu ni mwezi wa 8.
Wanakata ya miezi miwili ambayo ni 2000/=.
Na wanashauri tuvumilie kwan mwezi wa9 watakata 1000 kwa mwezi...
Pia wanawashauri na kuwashawishi ambao hawajaingiza umeme,waingize Mara moja ili tujenge nchi yao..
Ushauri wangu kwa tusiopenda hizi tozo.tusinunue umeme ila tulipie maji tu,.
Wataleta na kwenye maji. Wajalaaana hawa kwa adabu wanayowadhania ....?!
 
Halafu mtaani kwetu tunalazimishwa kulipa 10,000 kila mwezi ya ulinzi.
 
Back
Top Bottom