Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,221
- 6,940
mwingi sana.Mama anaupiga mwingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwingi sana.Mama anaupiga mwingi sana
Sema kuongoza nchi sio kama kuongoza jeshi. Kuongoza nchi na kuongoza familia habari ni ile ile. Nchi ni Familia kubwa na unahitaji uwezo wa kulea familia kuiongoza nchi.Nahamia Afghanistan soon.
Truth be told.... Kuingoza nchi so sawa na kuingoza familia.
Kwan si inasoma kule kuwa watu hawana madeni.Maumivu ni Kwa wale walokwisha lipa Kodi ya mwaka.
hahaha aisee, mambo ya 'mama' ayoAisee
[emoji23][emoji23][emoji23]kudadadeki..Haki CCM inajua kuf!ra![emoji1782][emoji1782][emoji1782]
Wengi anaolalamika kuhusu tozo na kodi,ni wale ambao,walikuwa hawalipi tozo wala kodi,walitumia huduma za jamii,lakini sasa wanalipa,eanaona ni jambo jipya,waliokuwa wakilipia hawalalamiki.huyu bi Zena, Anaharibu maisha ya watu, totally demolished[emoji26][emoji26][emoji26]
Hii ni zaidi ya kuisoma namba, sio hali ya kawaida kabisa!. Inatisha! NB: Mimi ni Mpangaji.
View attachment 1900995
Umeona mzee solar tuDuuuh hapa ni mwendo wa kununua tu Solar ili umeme wao watumie wenyewe mana wanaona kama tunafaidi sana
Tunza hizo sms kodi ijayo punguza 12,000/= unayomdai mwenye nyumba yako au kama vipi mfuate akupe advance kabisa ya pesa utakayomlipia...,Ila mimi sina Nyumba mzee ni mpangaji.
Ndio utanunua Solar na hautalipa tuseme kwa miaka kumi (ila kumbuka kodi ipo pale pale kila mwaka na penalty) kwahio baada ya miaka kumi ukiweka umeme ni either utakuwa na deni la 120K au siku wakiamua kupitisha msako wa wadaiwa kodi za majengo na wewe utakuwemoDuuuh hapa ni mwendo wa kununua tu Solar ili umeme wao watumie wenyewe mana wanaona kama tunafaidi sana
Duh sio poa aiseeNdio utanunua Solar na hautalipa tuseme kwa miaka kumi (ila kumbuka kodi ipo pale pale kila mwaka na penalty) kwahio baada ya miaka kumi ukiweka umeme ni either utakuwa na deni la 120K au siku wakiamua kupitisha msako wa wadaiwa kodi za majengo na wewe utakuwemo
Mama huyu ni muuaji aisee.
Hii ni zaidi ya kuisoma namba, sio hali ya kawaida kabisa!. Inatisha! NB: Mimi ni Mpangaji.
View attachment 1900995