Lingutwa Sr
Member
- Mar 30, 2021
- 65
- 48
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unatafuta kwa nguvu matusi asubuhi asubuhi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unatafuta kwa nguvu matusi asubuhi asubuhi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunataka tozo zaidi kuonyesha uzalendo wetu.
Mwigulu, Zungu tozo zaidi tafadhali.
Maendeleo yataletwa na watu na watu ndiyo sisi.
Cc: Jumbe Brown Wakudadavuwa jingalao
Aitishe uchaguzi tumchague raisi mwingine ambae atatambua umuhimu wa wananchi sio uyu aliepewa nchi kisa kale kakitabu mnakokaita katiba... toa alternative; alitakiwa afanyeje labda? Lipa kodi berty acha kulalamika! Nchi hii ni tajiri mno!
[emoji1317][emoji1317][emoji1317]Andika hivi: Huyu mama hakuna kitu kabisa
Huwezi endeleza nchi kwa kutembeza bakuli kwa wazungu miaka yote lazima uwe mbunifu.Huwezi endeleza nchi Kwa kunyonya wananchi wako
Huwezi kukwepa kulipa kodi kama kweli unataka kujitegemea.aitishe uchaguzi tumchague raisi mwingine ambae atatambua umuhimu wa wananchi sio uyu aliepewa nchi kisa kale kakitabu mnakokaita katiba
tukitaka tujitegemee tupunguze matumizi wao uko wanajipa mamishahara makubwaaaa na maposho kibao!Huwezi kukwepa kulipa kodi kama kweli unataka kujitegemea.
Mengine ni malalamiko tu ya kutafuta kujifariji.
Namba za simu za nini sasa hapo, ama ndo unataka urushiwe muamala kwa ulichokifanya?
Hawa mataga ndio wa,elipwa na Mwigulu ili waanze kusambaza propaganda..
View attachment 1855642
View attachment 1855641
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]
Tupo Kwenye Tuta Mzee hapo kila mtu ajishikilie hasa walionyuma huko
uyu mama akuna kitu kabaisaa! 😁😁Andika hivi: Huyu mama hakuna kitu kabisa
uyu mama akuna kitu kabaisaa! 😁😁
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]