Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
490,000 itakulazimu uwe nje ya mjiEkari 10 ndo sawa na Sqm ngapi??
uko sahihi ila naona ekari moja inatosha, ekari 10 hapana ni hatari kwa afya ya mkaziWengi huwa tunajenga makazi yetu ya kuishi kutokana na ukubwa wa vipato vyetu; wapo watakao jenga kwenye eneo la 10x10m, 20x 30m, 40 x 50m n.k
Pia, wapo watakaojenga kwenye eneo la ekari 5, 10, 20 n.k
Ila kwa mtazamo wangu; mimi naona makazi bora ni kujenga kwenye eneo lenye angalau ekari 10 na kuendelea, huku ukiwa unasikilimiza milio ya ndege mbalimbali.
Je, kwa mtazamo wako; makazi bora ni yapi?
View attachment 2591394
Wamasai wapouko sahihi ila naona ekari moja inatosha, ekari 10 hapana ni hatari kwa afya ya mkazi
ha ha ukiwa na ekari kumi na wewe unakuwa mfugo unayetembea na miguu mwiliWamasai wapo
40,960 square meters.Ekari 10 ndo sawa na Sqm ngapi??