Makazi ya Kudumu

Makazi ya Kudumu

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Nimeulizwa swali kuhusu muongozo wa jinsi ya kupoata wawakilishi wa wajumbe wa Baraza la Kata katika Katiba Mpya

Moja ya masharti ni kwamba lazima uwe na makazi ya kudumu katika kata husika, eti hii maana yake nini?
 
A permanent resident... Naamini kama sijakosea wanamaanisha uwe na kakibanda (nyumba) inayoashiria ukazi wako katika eneo husika na si 'waja leo waondoka kesho'.

Sijui nimeeleweka?
 
A permanent resident... Naamini kama sijakosea wanamaanisha uwe na kakibanda (nyumba) inayoashiria ukazi wako katika eneo husika na si 'waja leo waondoka kesho'.

Sijui nimeeleweka?
umesomeka.................kama ndivyo basi wengi tutaikosa hii fursa
 
A permanent resident... Naamini kama sijakosea wanamaanisha uwe na kakibanda (nyumba) inayoashiria ukazi wako katika eneo husika na si 'waja leo waondoka kesho'.

Sijui nimeeleweka?

Nadhani kua na makazi ya kudumu kunaangalia mazingira ya mtu anavyoishi kisheria:Yaani ni mkazi (mtanzania) anayeishi eneo husika,na amekua akiishi hapo kwa mda mrefu (sio chini ya muda fulani kisheria,kwa kipimo cha miaka kadhaa) na kushiriki kikamilifu mambo kadha ya kijamii yanayoihusu kata husika,kwa maana hiyo anatambulika ktk kata yake.

Suala la mali,namaanisha kua na nyumba anayoimiliki yeye ktk kata husika sio suala la lazima kisheria,maana mtu anaweza kua ni mzaliwa ktk kata husika na asiwe na nyumba ila anashiriki kikamilifu na anajulikana kiuadilifu ktk kata husika.
 
udadavuzi makini sana huu
Nadhani kua na makazi ya kudumu kunaangalia mazingira ya mtu anavyoishi kisheria:Yaani ni mkazi (mtanzania) anayeishi eneo husika,na amekua akiishi hapo kwa mda mrefu (sio chini ya muda fulani kisheria,kwa kipimo cha miaka kadhaa) na kushiriki kikamilifu mambo kadha ya kijamii yanayoihusu kata husika,kwa maana hiyo anatambulika ktk kata yake.

Suala la mali,namaanisha kua na nyumba anayoimiliki yeye ktk kata husika sio suala la lazima kisheria,maana mtu anaweza kua ni mzaliwa ktk kata husika na asiwe na nyumba ila anashiriki kikamilifu na anajulikana kiuadilifu ktk kata husika.
 
A permanent resident... Naamini kama sijakosea wanamaanisha uwe na kakibanda (nyumba) inayoashiria ukazi wako katika eneo husika na si 'waja leo waondoka kesho'.

Sijui nimeeleweka?
ukiwa visible utaeleweka tu
 
Back
Top Bottom