Make Tanzanians Receive Money with Paypal

Solution sio petition kwa paypal. Paypal wanajiendesha kwa policied zao zenye kuwalinda wateja wanunuzi. Mimi nilijiunga PayPal tangu 2008 na kati ya 2010 na 2014 niliwaandikia PayPal nikiwauliza kwa nini hawaruhusu malipo kwa PayPal tz. Wao walijibu kuwa sheria zetu za kifedha na kibenki haziendani na sheria za kimataifa zenye kuwalinda wanunuzi. Hiyo ni moja na lapili ni mikataba na mabenki husika haipo. Kwa hiyo Tanzania is not a safe place for online purchases. Mfano mteja akitapeliwa hakuna sheria ua kurudishiwa pesa zake. Usalama wa pesa za mnunuzi ni kipaumbele kwa PayPal. Mfano kuna wakati nilinunua simu ebay halafu kumbe simu ile ilikuwa ya kitapeli. Nilifuata hatua zote za kuomba kurudishiwa pesa hizo kama Protection policy yao inavyosena halafu baada ya mtapeli kugoma kurudisha, nilirudishiwa pesa na ebay. Hili kwa tz bila mkataba na sera za kibenki nzuri haiwezekani hata watu wengi wakifanya petition
 

Ila payment gateway ya CRDB mbona inaruhusu kupokea payment toka paypal?
 
Mkuu tumia payoner
 
NGOJA NIIFUFUE HILI GONJWA LILOKOSA KUTIBIWA UTADHANI HAWAONI SIJUI B.O.T KWA NINI TANZANIA TUKO NYUMA JUU YA KIZURI HICHI AU USIMAMIZI WA TEKNOLOJIA HIZI NDIO KWETU BADO...NCHI TAJIRI HII SEE KENYA MASAI PEOPLE TOUCH THE SKY
 
Vijana Mjiajiri, Fikirini [HASHTAG]#NjeYaBox[/HASHTAG] by Cc HKigwangalla
Tunajaribu kujiajiri hata kwa kufanya biashara mitandaoni unajua ugumu uliopo kwenye kufanya malipo tz?! Hapo ndio naona wanasiasa ukiwemo huyo uliyemquote ni wapuuzi tu.
 
Tunajaribu kujiajiri hata kwa kufanya biashara mitandaoni unajua ugumu uliopo kwenye kufanya malipo tz?! Hapo ndio naona wanasiasa ukiwemo huyo uliyemquote ni wapuuzi tu.
Nadhani wanamaanisha kila mtu awe Machinga !
 
Serikali yetu ina wazee wengi wasiotaka kushauriwa na vijana wanaoiona dunia inaendaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…