Wana Jamii Forums hamjambo.
Ni sababu zipi zinasababisha mtu kuwa na makengeza asilia? (Hapa siongelei makengeza ya ajali za ukubwani).
Nimekuwa nikifuatilia na nimegundua watu wengi wenye makengeza ni wa kabila fulani na nimewashirikisha watu wengine nao pia wamekuwa wakinipigia simu kunijulisha kwamba utafiti wangu unaelekea kuwa wa kweli.
Sasa najiuliza ni kwa nini kabila hilo linakuwa na idadi kubwa ya watu wenye makengeza.
Muulize kamanda kova, jeshi haliiitaji walemavu na yy kova bado yupo haahahaha
Hakuna Ki2 Kama Hicho Mim Nasomea Macho, Katika Taaluma Ye2 Inasema Kwamba, Strabismus/makengeza Inatokana Na Imbalance Of Extraocular Muscles, Na Mara Nying Huwa Congenital, Na Pia Inakua Inaambatana Sana Na Amblyopia, Na Wala Co Makabila, Cjui Umeelewa
Kwnini Mkuu???Ungekuwa mwalimu, I bet wanafunzi wako wote wangefeli!