Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usianzishe uchawi humu we unaanza kwa kasi hivyo je unajua ni the Best for what? . Sikatai ila ningependa kujua ubest huu umepimwa kwa vigezo vipi.
Je ni the best kwa huduma zao kwa ujumla?
au ni the best kwa kuwa na wahadhiri competent?
au ni the Best kwa kutoa the best graduates?
au ni the best kwa kuwa wamesoma watu wengi maarufu kipindi kile vyuo vikiwa vichache?
Au ni the best kwa kufanya research ambazo zimeleta breakthrough katika matatizo sugu ya wanadamu?
Au ni the best kwa kuwa na majengo mazuri?
Ningeridhika zaidi kama ningejua vigezo vilivyotumika ili na mimi nijiridhishe kuwa vyuo vyangu vikuu nilivyosoma havikunisaidia kwani nimekuwa nikikutana na colleagues kutoka Makerere katika mikutano na warsha mbali mbali za humu na nje sijaona walichonacho kikubwa saaana zaidi yetu waTZ au ambao hatukusoma makerere.
sometimes tuache ubishi,ni kweli UDSM in ya 34 na Makerere ya 10.
naona umeliza bila kuhoji ubora wake umejikita wapi, iki chuo kilikua bora enzi izo za baba wataifa,anayesema Ud ni bora anasababu za msing,unawachukia wana Ud kwann ndugu?Nategemea vilaza wa UDSM wanaodanganza kwamba chuo chao ni bora,wataingia kwa kasi na hasira kwenye thread hii,kama kawaida ya wataanza kwa vijembe na mipasho
Nategemea vilaza wa UDSM wanaodanganza kwamba chuo chao ni bora,wataingia kwa kasi na hasira kwenye thread hii,kama kawaida ya wataanza kwa vijembe na mipasho
Kama alieanzisha thread hii kafika chuo kikuu, Basi nina mashaka na elimu inayotelewa kwenye chuo chake.
mbona hamjibu hoja mnaishia kwenye vjembe na mipasho,ingieni kwenye hiyo link nliyowapa msome ndio mje na hoja zenu...la sivyo nazidi kuamini udsm ni makelele tu,hamna content
sa mbona unanishambulia mimi shambulia hoja,hoja yako nimeisoma period,don't attack me *****Wewe nawe inawezekana ni kilaza wa chuo kinachofahamika! Hapo juu nimekupa links tatu (3) kwa taarifa zako. Tembelea 4icu.org | World University Web Rankings website inayoheshimika kuliko zote nayo imeiweka Makerere University nafasi ya 11; University of Nairobi nafasi ya 14; University of Dar es Salaam nafasi ya 15; The Hubert Kairuki Memorial University nafasi ya 48; Kumbuka kuwa vyuo hivi ni ndani ya 100 bora barani Afrika. Sasa nikupe nini zaidi?Wewe unazungumzia rankings za Februari 2011, mimi nakupa rankings za Julai 2011. Rankings hizi zinabadilika kulingana na wakati kama zile za FIFA!
walimpga disco akaenda muccobs kwa vilaza wenzie,ndo kawa na hasira hadi leo.naona umeliza bila kuhoji ubora wake umejikita wapi, iki chuo kilikua bora enzi izo za baba wataifa,anayesema Ud ni bora anasababu za msing,unawachukia wana Ud kwann ndugu?