Makinda atoa msimamo juu ya pendekezo la serikali tatu

Mhh! Hapo umepotea mkuu! Kama ni lazima kuwa na mtu anayeitwa kiongozi, si lazima aliyeko sasa akaendelea kukaa kwa kisingizio cha kusubiri katiba. Tunaweza kumpatia nchi Jaji Mkuu akaendesha nchi kwa muda....make by and large tunahitaji mtu aliye-objective. Ukweli kuwa Mh Kikwete ni rais na mwenyekiti wa chama kunamwondoa kuwa objective kwa kuwa tayari anamaslahi ...mgongano wa kimasilahi na kama akiendelea kuwa kiongozi kwa kisingizio cha mpito basi itabidi awe wa Muungano (usio na bajeti), wakati rais wa Tanganyika akiwa amepatikana kiongozi wa mpito ambaye ni impartial and non-partisan.
Ya nini gharama za kufanya chaguzi mara kwa mara, wasubiri tu, Jakaya Mrisho Kikwete aendelee kuwa Rais panapo uhai na majaaliwa mpaka hapo katiba mpya itapokuwa tayari, kama miaka mingine 5 au 10 poa tu. Kikwete anafanya kweli.
 
Suluhisho ni muungano wa serikali moja ya Muungano kama Wazanzibar wako tayari kwa hiyo la hasha kama hawataki tuwe na Serikali mbili zinazotambulika kimataifa (yaani Muungano ubaki historia). Hii itasaidia kupata mapato ya wazanzibar wanaokuja kuangalia mali asili zetu huku bara
 
Serikali tatu kwa manufaa ya nchi nzima.serikali moja kwa hasara ya zanzibar.serikali mbili kwa manufaa ya ccm.wananchi tutapiga kura serikali tatu kama tu wazanzibari hawataki serikali moja.zanzibar wangekuwa tayari kwa serikali moja basi mgogoro ungekwisha kabisa.ili kila mtu anufaike basi serikali tatu ni suluhisho hata kama ni gharama potelea mbali.kama hampendi kauli hizi tatu basi muungano uvunjikeeeeeeeeeeeeeeeeeee......
 
Ni maoni yake na yanaweza yasifanyiwe kazi pia. Hata kama yeye ni Spika wa Bunge sio kila asemacho ni sawa bali kuna vingine pia ni majanga kwa mustakabali wa taifa.
 

Safi sana, atakuwa yupo pale Othman Chande.
 
hapo kwenye red inaonesha huyu mama hana uelewa wa political science hata kidogo. kimsingi serikali haiundwi na ardhi kama anavyodhani, dola pekee ndio inaundwa na watu, ardhi yenye mipaka inayotambuliwa kimataifa, na serikali. sasa serikali na ardhi wapi na wapi


 
katiba sio lazima itengenezwe na serikali hii na wala hatuwezi kuahirisha uchaguzi kwa sababu ya katiba watekele pale walipofikia serikali inayokuja ndio ishugurikie katiba uongozi uliopo sasa hautakiwi kuachwa hata kidogo uendelee kwani ni majanga
 
Sielewi ni vipi katiba ya muungano inaweza kupatikana kabla ya katiba ya Tanganyika.
 
VOICE OF MTWARA,

..lakini inasikitisha sana, if not shocking, kwamba huo ndiyo uelewa wa Spika wetu kuhusu serikali 3.

..by the way, nimesikia Job Ndugai, naibu spika, akiunga mkono mapendekezo ya tume kuwa na serikali 3.

..mama makinda alipaswa kuulizwa kama serikali nyingine za shirikisho zina ardhi au la.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…