Makinika: Maudhui ya ngono na utupu mitandaoni ni mkakati maalumu wa Ibilisi, si kitu cha kawaida

Makinika: Maudhui ya ngono na utupu mitandaoni ni mkakati maalumu wa Ibilisi, si kitu cha kawaida

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kulingana na Biblia kuna vitu viwili huondoa akili ya mtu navyo ni 1. Pombe na 2. Uzinzi.

Wakati huu ni wakati wa mwisho au dakika za nyongeza, watu kama wangetumia vizuri akili walizopewa na Mungu wangeona kuwa sasa ni wakati wa mangojeo. Si wakati wa kuhangahikia mali na fedha na kushangilia vitu upepo .

Lakini shetani ameharibu akili za watu kwa ku upload uzinzi na ulevi kwenye vichwa vya watu.
Hawa wadada wa Facebook, Instagram, X n.k hawaonyeshi makalio, mapaja, chupi, matiti na miili yao kwa bahati mbaya.

Ni mpango mahsusi wa Ibilisi kuwajaza watu jehanamu.

Huwezi kuingia mbinguni na memory yenye uzinzi kichwani.

Kadri unavyoscrol video hizo za ma content creators most zenye maudhui ya utupu ndipo unaharibu akili yako na kujitenga na uwepo wa Mungu.

Hawa wadada wanalipwa pesa nyingi ili tu wakunajisi wewe usiingie mbinguni.
Amka.

It's devil's mission.
 
Kulingana na Biblia kuna vitu viwili huondoa akili ya mtu navyo ni 1. Pombe na 2. Uzinzi.

Wakati huu ni wakati wa mwisho au dakika za nyongeza, watu kama wangetumia vizuri akili walizopewa na Mungu wangeona kuwa sasa ni wakati wa mangojeo. Si wakati wa kuhangahikia mali na fedha na kushangilia vitu upepo .

Lakini shetani ameharibu akili za watu kwa ku upload uzinzi na ulevi kwenye vichwa vya watu.
Hawa wadada wa Facebook, Instagram, X n.k hawaonyeshi makalio, mapaja, chupi, matiti na miili yao kwa bahati mbaya.

Ni mpango mahsusi wa Ibilisi kuwajaza watu jehanamu.

Huwezi kuingia mbinguni na memory yenye uzinzi kichwani.

Kadri unavyoscrol video hizo za ma content creators most zenye maudhui ya utupu ndipo unaharibu akili yako na kujitenga na uwepo wa Mungu.

Hawa wadada wanalipwa pesa nyingi ili tu wakunajisi wewe usiingie mbinguni.
Amka.

It's devil's mission.
Uzinzi ni dhana tu ya kipuuzi maliowekewa vichwani mwenu,kwani huko kwende ndoa mnatumia matundu tofauti na ambao hawako kwenye ndoa..pumbafu
 
Kulingana na Biblia kuna vitu viwili huondoa akili ya mtu navyo ni 1. Pombe na 2. Uzinzi.

Wakati huu ni wakati wa mwisho au dakika za nyongeza, watu kama wangetumia vizuri akili walizopewa na Mungu wangeona kuwa sasa ni wakati wa mangojeo. Si wakati wa kuhangahikia mali na fedha na kushangilia vitu upepo .

Lakini shetani ameharibu akili za watu kwa ku upload uzinzi na ulevi kwenye vichwa vya watu.
Hawa wadada wa Facebook, Instagram, X n.k hawaonyeshi makalio, mapaja, chupi, matiti na miili yao kwa bahati mbaya.

Ni mpango mahsusi wa Ibilisi kuwajaza watu jehanamu.

Huwezi kuingia mbinguni na memory yenye uzinzi kichwani.

Kadri unavyoscrol video hizo za ma content creators most zenye maudhui ya utupu ndipo unaharibu akili yako na kujitenga na uwepo wa Mungu.

Hawa wadada wanalipwa pesa nyingi ili tu wakunajisi wewe usiingie mbinguni.
Amka.

It's devil's mission.
Zinapatikana wapi hizo Video pia

Tunaomba Taswira za hao Wadada wanaonajisi ili tusiingie mbinguni.
 
Kulingana na Biblia kuna vitu viwili huondoa akili ya mtu navyo ni 1. Pombe na 2. Uzinzi.

Wakati huu ni wakati wa mwisho au dakika za nyongeza, watu kama wangetumia vizuri akili walizopewa na Mungu wangeona kuwa sasa ni wakati wa mangojeo. Si wakati wa kuhangahikia mali na fedha na kushangilia vitu upepo .

Lakini shetani ameharibu akili za watu kwa ku upload uzinzi na ulevi kwenye vichwa vya watu.
Hawa wadada wa Facebook, Instagram, X n.k hawaonyeshi makalio, mapaja, chupi, matiti na miili yao kwa bahati mbaya.

Ni mpango mahsusi wa Ibilisi kuwajaza watu jehanamu.

Huwezi kuingia mbinguni na memory yenye uzinzi kichwani.

Kadri unavyoscrol video hizo za ma content creators most zenye maudhui ya utupu ndipo unaharibu akili yako na kujitenga na uwepo wa Mungu.

Hawa wadada wanalipwa pesa nyingi ili tu wakunajisi wewe usiingie mbinguni.
Amka.

It's devil's mission.
Hivi zamani Adamu na Hawa si walikuwaga uchi na hawakuona haya
 
Back
Top Bottom