Tetesi: Makinikia yameanza kusafirishwa tena?

Siyo yameanza kusafirishwa. Hata wakati wa Magufuli yalikuwa yanasafirishwa. Si walishatoa kiinua uchumba!
 
Tuletee facts mkuu kama huna hiyo ni propaganda,mimi nimeona wakisafirisha wewe unasema tangu zamani wanasafirisha mwaga facts.
 
Kwani kayika kipindi chote mwendazake alipoyazuia ,Kama nchi yulipata faida gani au wewemleta post ulipata nini?
aidi ya kutuachia mzigo wa Deni la Taifa tilion 62±
 
Kwani kayika kipindi chote mwendazake alipoyazuia ,Kama nchi yulipata faida gani au wewemleta post ulipata nini?
aidi ya kutuachia mzigo wa Deni la Taifa tilion 62±
Hiki ni kiyahudi mkuu umeandika?Sijakuelewa!
 
Mzigo walianza siku nyingi sana kusafirisha Mwendazake aliruhusu kwa aibu ya utu uzima
 
Upuuzi wangu una facts na hauko kwenye ulimbukeni wa ukabila na upuuzi na ushamba
Kuwa mshamba wote tu watu wa shamba maana siamini wewe ni mtoto wa Mkoma ambaye alizaliwa makoroboi wala mimi. Ulivyo mpuuzi unakurupuka maana hujui kabila langu, nitakuwaje na ukabila wakati hujui kabila langu?
 
Lini yalikua hayasafirishwi.?
 
Nani alikuambia yaliacha kusafirishwa??
Unasikiliza matamko majukwaani??

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kuwa mshamba wote tu watu wa shamba maana siamini wewe ni mtoto wa Mkoma ambaye alizaliwa makoroboi wala mimi. Ulivyo mpuuzi unakurupuka maana hujui kabila langu, nitakuwaje na ukabila wakati hujui kabila langu?
Hebu tuliza mshono, relax! Maisha ni mafupi sana huhitaji kupaniki kama vile umefumaniwa! Relax, sio mimi niliyemua Shujaa wenu.
 
Yalianza kusafirishwa kwa ruhusa yake mwenyewe baaada ya kuona ataambulia aibu kubwa.
 
Mbona waliendelea kusafirish hata kabla ya tarehe 17/3/2021 na aliyezuia aliku anajua.
 
 
Nikishaona jina la Mshana huwa moja kwa moja hiyo post sisomi kabisa. Mijitu ya milimani umandeni huko eti yanajiita ya mjini wakati ukifika huko Ndungu hadi Kivukoni utayahurumia yalivyo na njaa na yanaishi kwenye umande kama nyani tu. Fyuuuu.
Kuwa mshamba wote tu watu wa shamba maana siamini wewe ni mtoto wa Mkoma ambaye alizaliwa makoroboi wala mimi. Ulivyo mpuuzi unakurupuka maana hujui kabila langu, nitakuwaje na ukabila wakati hujui kabila langu?
 
Tuletee facts mkuu kama huna hiyo ni propaganda,mimi nimeona wakisafirisha wewe unasema tangu zamani wanasafirisha mwaga facts.
Naishi huku karibu na mgodi na nina ndugu zangu wanafanya kazi mgodini, kitambo sana makinikia yanasafirishwa, usafirishaji ulisimama in a less than a year,
 
Kuna mijitu imevimbiwa huu utulivu. inamlazimisha mama kutumia noah nyeusi.
 
mbona kitambo?kabla hata ya xmass
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…