Ukifungua centre ya togwa nishtue!binasfsi nitaanzisha Togwa na mbege point ni kuboresha tu hakuna kipya wajameni, ila iyo ya stasbuck coffee kwa tz nahis haitofanya vizuri kunajamaa apo alikua na wazo labda mikoa baadhi yenye baridi watu ndo hupendelea kahawa na vitu vya moto moto
Sent using Jamii Forums mobile app
I wish nilike hii comment mara 1000 yaani I was neglected hadi sina hamu ya kwenda kwenye kile kijuice bar chake pale AfricasanaWahudumu wake wanazingua sana, kama sio mtu maarufu au hawajakuona umekuja na gari basi huduma huwa ni mbovu na kwa kuchelewa sana na usishangae atayekuja baada ya ww kuhudumiwa fasta! Wajirekebishe hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa Hiyo Aya yako ya Mwisho DahhKuna hii mentality moja TZ kwamba kila anayeanzisha juice Point yake basi kaiga kwa Makjuice nachukizwa sana na hili.
Niwaekeweshe tu Juice bar zipo kitambo TZ na ni nyingi sana ila Makjuice ni jamaa kapata umaarufu tu kwenye biashara hiyo kwasababu ya kuji brand na network kubwa aliuonayo na anayoifanya kwa hilo apongezwe, ila juice bar zipo TZ especially DSM tangu yeye yupo anasoma.
Chakuongeza pia Dunia ime exist miaka mingi sana kiasi cha kwamba hakuna tena idea mpya na kwa TZ sasa hivi idea nyingi tunachukua nje, Mfano Starbuck ni biashara inayofanya vizuri kwenye solo sasahivi inaingiza billions of money binafsi nina wazo la kukopi kuifanya TZ ila sina power kwasasa sasa akitokea mwengine kwenye uwezo wa kuifanya akajulikana then Mimi nikija kufanya itakuwa nimeiga kwake.
Hili suala naliona hadi kwa Manala eti kamuiga Diamond sijui mwana FA jamani viumbe hai idea hizi zipo toka wote humu tujazaliwa.
Iyo mifano tu tuache hii mentality.
Tuache kuishi zama za feudalism TZ dunia inaenda fasta sana.
NB: Upo karne hii na huna ndoto yakufanya biashara ya kuanzia 100M kwenda juu nakusalim.
Sent using Jamii Forums mobile app
Makoye Philibert (Mack) ni mtu wa connection sana...ni rafki wa watu maarufu...kiuhalisia biashara ya juice ilikuwa imelala..jamaa kaiamsha..wengi waliifanya kama sub ila yeye aliijengea jina to stand alone bila backup ya soda au chips/chakula..jamaa tulisoma naye ikizu sekondary Musoma karbia shule nzima walikuwa ni marafk zake very social sana mshikaji..ushaur tu kwake ni kuwa biashara sku zote ni kaa chonjo ukilegea kdog tuu wanga wanapita
Aisee umenikumbusha mbali sana. ChiefUkifungua centre ya togwa nishtue!
Napenda sana hicho kinywaji, Yaani Kuna kipindi cha nyuma kidogo bimkubwa alikuwa akipika togwa naanza nazo asubuhi ata chai sinywi
Kingefanyiwa package kabisa [emoji23] [emoji23]
Hahaa ingependeza mnooKingefanyiwa package kabisa [emoji23] [emoji23]
Kweli mkuu namshukuru mungu kwa kunipa akili ya ubunifu na kufahamu soko, hii dhamira inanisukuma nisifanye biashara kwa mazoea hata saa moja na nikue..Ushindani katika biashara hauepukiki,ni kujitahidi kwenye ubora,bei,spidi katika kumhudumia mteja n.k;lasivyo pepsi na koka kola wasingekuwepo.
Kuna hii mentality moja TZ kwamba kila anayeanzisha juice Point yake basi kaiga kwa Makjuice nachukizwa sana na hili.
Niwaekeweshe tu: Juice bar zipo kitambo TZ na ni nyingi sana ila Makjuice ni jamaa kapata umaarufu tu kwenye biashara hiyo kwa sababu ya kuji brand na network kubwa aliyon ayo na anayoifanya. Kwa hilo apongezwe, ila juice bar zipo TZ especially DSM tangu yeye yupo anasoma.
Chakuongeza pia Dunia ime exist miaka mingi sana kiasi cha kwamba hakuna tena idea mpya na kwa TZ sasa hivi idea nyingi tunachukua nje.
Mfano, Starbuck ni biashara inayofanya vizuri kwenye soko, sasa hivi inaingiza billions of money. Binafsi nina wazo la kukopi kuifanya TZ ila sina power kwa sasa. Sasa akitokea mwingine mwenye uwezo wa kuifanya akajulikana then Mimi nikija kufanya itakuwa nimeiga kwake.
Hili suala naliona hadi kwa Manara eti kamuiga Diamond sijui mwana FA, jamani viumbe hai idea hizi zipo toka wote humu hatujazaliwa.
Hiyo mifano tu, tuache hii mentality.
Tuache kuishi zama za feudalism TZ dunia inaenda fasta sana.
NB: Upo karne hii na huna ndoto ya kufanya biashara ya kuanzia 100M kwenda juu, nakusalim.
Pia zinasaidia kuongeza kumbukumbuMabungo-
Unatoaa mbegu zile,una saga na blender,
Unachuja mbegu na kichujio,ile juice nzito ya mabungo iliyotoka kwenye tunda za ndani una mix na maji yaliyochemshwa una changanya na Sukari....juice ya bungo tayari
Ubuyu hivyo hivyo au unaweza chukua ubuyu ukaziloweka baada ya Muda Unachuja mbegu za ubuyu na kubaki maji mazito ya ubuyu una mix na maji na Sukari,juice tayari
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
OkayKuna hii mentality moja TZ kwamba kila anayeanzisha juice Point yake basi kaiga kwa Makjuice nachukizwa sana na hili.
Niwaekeweshe tu: Juice bar zipo kitambo TZ na ni nyingi sana ila Makjuice ni jamaa kapata umaarufu tu kwenye biashara hiyo kwa sababu ya kuji brand na network kubwa aliyon ayo na anayoifanya. Kwa hilo apongezwe, ila juice bar zipo TZ especially DSM tangu yeye yupo anasoma.
Chakuongeza pia Dunia ime exist miaka mingi sana kiasi cha kwamba hakuna tena idea mpya na kwa TZ sasa hivi idea nyingi tunachukua nje.
Mfano, Starbuck ni biashara inayofanya vizuri kwenye soko, sasa hivi inaingiza billions of money. Binafsi nina wazo la kukopi kuifanya TZ ila sina power kwa sasa. Sasa akitokea mwingine mwenye uwezo wa kuifanya akajulikana then Mimi nikija kufanya itakuwa nimeiga kwake.
Hili suala naliona hadi kwa Manara eti kamuiga Diamond sijui mwana FA, jamani viumbe hai idea hizi zipo toka wote humu hatujazaliwa.
Hiyo mifano tu, tuache hii mentality.
Tuache kuishi zama za feudalism TZ dunia inaenda fasta sana.
NB: Upo karne hii na huna ndoto ya kufanya biashara ya kuanzia 100M kwenda juu, nakusalim.