Makocha huwa wanawasiliana vipi na wachezaji?

Makocha huwa wanawasiliana vipi na wachezaji?

Abie

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
289
Reaction score
535
Wakuu salaam,

Huwa najiuliza siku zote kuwa hawa makocha wakigeni wanawasiliana vipi na wachezaji wazawa? Wakati wanaonngea lugha tofauti? Kwa mfano kocha wa Yanga hata kiingereza tu kwake ni shida yaan hakijui yeye anaongea kifaransa lkn unamuona anamwita Faridi au Feisal anamwelekeza jambo na unaona kabisa kama wanongea na wanaelewana.

Na sio kwa makocha tu hata wachezji wa nje wanongea vipi na wachezaji wazawa? Au kuna lugha ya mpira tu?

Karibuni kwa maoni
 
Kocha wa Yanga amesoma masomo yake kwa lugha ya kiingereza ila chaajabu hiyo lugha haiwezi. Ushindi wa Yanga ni ujanjaujanja tu wa GSM na wala sio ubora wa kocha au wachezaji.
Kilichoongelewa kwenye mada na ulichojibu ni vitu viwili tofauti. Yanga inakupa maumivu makali sana ya moyo. Au lasivyo basi shuleni ulienda kusomea ujinga.
 
Kocha wa Yanga amesoma masomo yake kwa lugha ya kiingereza ila chaajabu hiyo lugha haiwezi. Ushindi wa Yanga ni ujanjaujanja tu wa GSM na wala sio ubora wa kocha au wachezaji.
Punguza frustration mkuu

Asilimia kubwa ya makocha wanaotoka nchi za kiarabu huwa hawajui kingereza.

Pia usikalili lugha ya kufundisha ukocha ni kingereza tu hata lugha nyingine zinatumika kama kifaransa.
 
Punguza frustration mkuu

Asilimia kubwa ya makocha wanaotoka nchi za kiarabu huwa hawajui kingereza.

Pia usikalili lugha ya kufundisha ukocha ni kingereza tu hata lugha nyingine zinatumika kama kifaransa.
Sawa ila vyeti vyake vimeandikwa kwa kiingereza
 
Kocha wa Yanga amesoma masomo yake kwa lugha ya kiingereza ila chaajabu hiyo lugha haiwezi. Ushindi wa Yanga ni ujanjaujanja tu wa GSM na wala sio ubora wa kocha au wachezaji.
Broo soma vizuri thread ili uielewe
naona unapindisha mada
 
Makocha wanajifunza lugha nyingi
Kwa nchi kama Uingereza ni lazima kocha au mchezaji ujue Kiingereza. Hata kuajiriwa kazi yoyote lazima ujue Kiingereza
 
Kwenye soka hakuhitaji lugha bali kunahitaji kocha mwenye jicho la kuona mambo yafuatayo

1.Uwezo wa mchezaji

2.position ya mchezaji ni ipi

3.nani anafaa kucheza kwenye mechi gani,nafasi gani na kwa muda gani

4.Nani defender mzuri, midfielder na striker mzuri

5.Formula gani ambayo itaisaidia team kupata matokeo mazuri kutokana na Aina ya wachezaji alionao


Ukijua haya unaweza ukaifundisha hata Barcelona Tena kwa lugha ya kizaramo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwenye soka hakuhitaji lugha bali kunahitaji kocha mwenye jicho la kuona mambo yafuatayo

1.Uwezo wa mchezaji

2.position ya mchezaji ni ipi

3.nani anafaa kucheza kwenye mechi gani,nafasi gani na kwa muda gani

4.Nani defender mzuri, midfielder na striker mzuri

5.Formula gani ambayo itaisaidia team kupata matokeo mazuri kutokana na Aina ya wachezaji alionao


Ukijua haya unaweza ukaifundisha hata Barcelona Tena kwa lugha ya kizaramo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahajah
 
Kwenye soka hakuhitaji lugha bali kunahitaji kocha mwenye jicho la kuona mambo yafuatayo

1.Uwezo wa mchezaji

2.position ya mchezaji ni ipi

3.nani anafaa kucheza kwenye mechi gani,nafasi gani na kwa muda gani

4.Nani defender mzuri, midfielder na striker mzuri

5.Formula gani ambayo itaisaidia team kupata matokeo mazuri kutokana na Aina ya wachezaji alionao


Ukijua haya unaweza ukaifundisha hata Barcelona Tena kwa lugha ya kizaramo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa unatoaje maelekezo kwa kizaramo na watu haelewi,,, yaan unamuelekezaje mchezaji kwa lugha ambayo yeye haijui?
 
Hii ndio Yangu ninayoijua. Bila bahasha za kaki yanga hashindi
 
Hii ndio Yangu ninayoijua. Bila bahasha za kaki yanga hashindi
Jina lako linaendana na mambo yako, mtu unajiita frustration unategemea uwe na mawazo positive? We muda wote upo stressed tu ona mpaka unakosea jina la timu,, ni Yanga na sio Yangu kaka, punguza mawazo
 
Najiuliza yule zungu la anaongeaje na onyango aliyeishia darasa la 2?

Angalau bocco kasoma soma mpka form 4 ,
Huku kina matola wao waliishia la saba wakaanza kusoma memkwa yaani hata kiswahili kinamshinda
 
Jina lako linaendana na mambo yako, mtu unajiita frustration unategemea uwe na mawazo positive? We muda wote upo stressed tu ona mpaka unakosea jina la timu,, ni Yanga na sio Yangu kaka, punguza mawazo
Hahahha matani ila nashukuru lugha umeielewa
 
Kocha wa Yanga amesoma masomo yake kwa lugha ya kiingereza ila chaajabu hiyo lugha haiwezi. Ushindi wa Yanga ni ujanjaujanja tu wa GSM na wala sio ubora wa kocha au wachezaji.
Kwa farid huwa anaongea nae kispaniola nabi anakijua na farid anakijua fei anaongea kiingereza hichihicho

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom