Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Kuajiri kocha wa kigeni katikati ya msimu ambapo mtani wetu kashatuacha kwa pointi 6 na hapo bado hatujacheza nao, hatujacheza na Azam, hatujaenda mikoani kuminyana na Ihefu, Dodoma jiji, Mtibwa ni kama tumekubali kuwa yanga bingwa tena msimu huu.
Makocha wa kigeni wa misimamo ya kijinga sana, kuna wachezaji wabovu humo Simba basi kwa mbrazil huyo watakuwa wanaanza, si ajabu mkasikia kikoc kikianza na Mkude, Akpan, Okwa, Nyoni, Mwinuke, Kibu akawa striker pacha na Kiyombo.
Nyie subirini tu, najua wapo wataotukana badala ya kujibu hoja, timu itafanywa vby halafu tutafukuza akina Matola tukidai wanahujumu timu.
Kila la heri
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Makocha wa kigeni wa misimamo ya kijinga sana, kuna wachezaji wabovu humo Simba basi kwa mbrazil huyo watakuwa wanaanza, si ajabu mkasikia kikoc kikianza na Mkude, Akpan, Okwa, Nyoni, Mwinuke, Kibu akawa striker pacha na Kiyombo.
Nyie subirini tu, najua wapo wataotukana badala ya kujibu hoja, timu itafanywa vby halafu tutafukuza akina Matola tukidai wanahujumu timu.
Kila la heri
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app