Makocha wa vilabu vikubwa (Barcelona, Real Madrid) huwa wanawafundisha nini wachezaji wao? Mbona kama wote wanajua?

Makocha wa vilabu vikubwa (Barcelona, Real Madrid) huwa wanawafundisha nini wachezaji wao? Mbona kama wote wanajua?

Niliwahi sikia kwamba Zidane alikuwa anatowa maelezo kwa team nzima halafu mwishowe anasema cristiano wewe cheza kama unavyofanyaga siku zote, same to pep na luis enrique wakiongea na messi "leo wewe unajuwa nini cha kufanya so usiniangushe kijana wangu"
 
Si hayo tu pia kocha anapanga tactics( mbinu) zitakazowasaidia kuwin na kuwaambia wachezaji weakness za timu pinzani na pia kocha anawapa morali wachezaji na kuhakikisha kuna ushirikiano kwenye timu.
Wachezaji wa Yanga na Simba siku zote wao wanafundishwa kupiga chenga, kutoa pasi, kupiga faulu na kwenda mbio. Halafu tushinde?
 
Ile Barca iliyokuwa full ngwamba walikuwa wanambiwa TU chezeni kama Jana.😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣
Ile ya kuanzia 2008 to 2012 hivi na kuendelea kidogo . Ilecheza na Man U final Championship Mzee Alex Ferguson anatetemeka mikono.🤣😂🤣😂
Its david villaaaaaaaa....chuma ya tatu babu haelewi. Iniesta xavi busquet wagonga gusa achia twende kwao ya ukweli ukweli sio hii ya utopwinyo ye ye nguvu ya soda
 
Hatari mzeya hiyo inapigwa fabo mwenyewe unaburudika kinomaaa
Au ile bar ya ronaldinho...alipiga fabo msengeee yule mpaka masha iki wa madrid wakaamka kumpongeza.
Those guys were the chosen ones
 
Back
Top Bottom