Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwehu!Gamondi ameikosa ngao
Kaze kafungwa na JKT Tanzania
Mwinyi Zahera amefungwa na Coastal Union
Haya ni matata matatani. Ni uwezo wao mdogo, timu mbovu au ni mwanzo tu>
Kumbe Zahera ni kocha wa yangaGamondi ameikosa ngao
Kaze kafungwa na JKT Tanzania
Mwinyi Zahera amefungwa na Coastal Union
Haya ni matata matatani. Ni uwezo wao mdogo, timu mbovu au ni mwanzo tu>
Kama mazoezi yenyewe ndio haya unategemea niniGamondi ameikosa ngao
Kaze kafungwa na JKT Tanzania
Mwinyi Zahera amefungwa na Coastal Union
Haya ni matata matatani. Ni uwezo wao mdogo, timu mbovu au ni mwanzo tu>
Kuna timu imecheza mechi mbili haijaweza kufunga bao ndani ya dk 180.Gamondi ameikosa ngao
Kaze kafungwa na JKT Tanzania
Mwinyi Zahera amefungwa na Coastal Union
Haya ni matata matatani. Ni uwezo wao mdogo, timu mbovu au ni mwanzo tu>
Kwa hio Namungo na Costal union ni Yanga? au Yanga wana academy ya makocha siku hiziGamondi ameikosa ngao
Kaze kafungwa na JKT Tanzania
Mwinyi Zahera amefungwa na Coastal Union
Haya ni matata matatani. Ni uwezo wao mdogo, timu mbovu au ni mwanzo tu>
Mmmm jamani mie nineishindwa kuielewa kbsGamondi ameikosa ngao
Kaze kafungwa na JKT Tanzania
Mwinyi Zahera amefungwa na Coastal Union
Haya ni matata matatani. Ni uwezo wao mdogo, timu mbovu au ni mwanzo tu>
Mtu wa Yanga kama nani ni kiongozi, shabiki au mwanachama wa Yanga?Anaifahamu Yanga kuliko wewe n mimi tunavyoifahamu, ana siri za Yanga, ni Yanga ameifundisha Yanga ni mtu wa Yanga.
Ni mwanachama wa Yanga.Mtu wa Yanga kama nani ni kiongozi, shabiki au mwanachama wa Yanga?
Ujue kuwa Zahera na kaze walikuwa Yanga, na waliachwa na Yanga. Kama wanafanya vibaya kwenye timu zao mpya baada ya Yanga ina maana ni Yanga ilikuwa sahihi kuacha, au ni kwasababu tu timu walizokwenda ni mbovu.Mmmm jamani mie nineishindwa kuielewa kbs