Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Sijawahi kujua vuzuri ubora wa Soso uwanjani ila huyu mchezaji wa Lipuli FC ameitwa timu ya taifa kwenda AFCON.
Ni mchezaji mvivu, hajui kukaba, hana pumzi, hajui tackling.
Anachoweza yeye ni kuanzisha mashambulizi kuanzia nyuma, zaidi hapo sioni cha maana kwake!
Ni mchezaji mvivu, hajui kukaba, hana pumzi, hajui tackling.
Anachoweza yeye ni kuanzisha mashambulizi kuanzia nyuma, zaidi hapo sioni cha maana kwake!