Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nawauliza WanaSimba Wenzangu, kwanini ni Matola pekee anayebaki pale wanapoondolewa Makocha wenzake kwa sababu ya kiwango duni cha timu, Kwani yeye si sehemu ya benchi la Ufundi au Matola ni sehemu ya Uongozi?
Ikiwa kama Matola ni mzuri kuliko Makocha wa Nje tunaowapa mikataba ya hela Ndefu, kwanini sasa tusimpe Matola Mkataba kamili kama wa wale tuliowatimua ili ainoe Simba , tunaogopa nini ikiwa yeye si mbovu?
Ikiwa kama Matola ni mzuri kuliko Makocha wa Nje tunaowapa mikataba ya hela Ndefu, kwanini sasa tusimpe Matola Mkataba kamili kama wa wale tuliowatimua ili ainoe Simba , tunaogopa nini ikiwa yeye si mbovu?