Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
- Thread starter
-
- #21
Hizo video za kutengeneza huwa sijishughulishi nazo. Na ndio maana sijawahi na wala hutakujaniona nazikoti kuzielezea. Wewe mwenyewe pia huwa sikukoti ila mpaka unikoti, huwa naona una uwelewa saizi ya kina Nyamizi.Kazi ya Himars hiyo Jana,S300 na S400 zimebaki tu kudaka inzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Btw: Tujaalie HIMARS zote zipo intact, mnashindwa nini sasa kukomboa mikoa na miji yenu toka June (miezi miwili imepita sasa) toka mlipopokea HIMARS (game changer 😇😇😁😁😄😄😂😂)
Urusi yaua zaidi ya wanajeshi 1,200 wa Ukraine katika operesheni ya Zelensky iliyofeli ya kurejesha miji
Majeshi ya Urusi yamewanywa wanajeshi wa Ukraine zaidi ya 1200 ktk masaa 24 yaliyopita katika majaribio ya Ukraine kutaka kurejesha miji iliyokombolewa na Urusi toka kwenye utawala wa waNazi mamboleo wa Ukraine. Kutokana na operation hiyo ya Ukraine iliyofeli, Zelensky kapoteza wanajeshi hao...