EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Simulation videos 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marekani yaripoti kuwa makomandoo 60 wa Ukraine leo asubuhi wamejaribu kufanya shambulio la ghafla la kuukamata mtambo wa nyuklia wa Zaporizhzhia uliopo Ukraine unaomilikiwa na majeshi ya Urusi toka mwezi March. Urusi imewanywa wotee.
Jaribio hilo lililofeli limefanyika wakati wataalamu wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Nyuklia (International Atomic Energy Agency (IAEA)) wakijiandaa kuutembelea mtambo huo wa nyuklia mkubwa zaidi barani Ulaya kushuhudia uharibifu uliofanywa na mashambulizi ya majeshi ya Ukraine dhidi ya mtambo huo.
Pia rejea: Marekani na Zelensky wailalamikia Urusi kuiondoa Kyiv kwenye mgao wa umeme toka kwenye mtambo wa nyuklia wa Zaporizhzhia
====
View attachment 2341750View attachment 2341751View attachment 2341752
Ile ya wanajeshi 2000 kushikwa mateka aisee ilikuwa ni aibu ya mwaka kwa Ukraine na washirika wake. Ile battle ya mariupol ilikuwa ni legendary, jinsi wakreni walivyokuwa wanailinda mariupol lkn bado ikaanguka inashangaza sana.Uwe wasumbua akili kidogo...toka hizo video zako fake zilipokuwa zikirushwa toka mwanzo wa vita, ni majiji mangapi na miji mingapi ya Ukraine imeendelea kuanguka mikononi mwa Urusi?
Maelfu ya wanajeshi wa Ukraine wameuawa na kutekwa Mauripol huku hizo video fake za Ukraine kushinda vita mitandaoni zikiendelea kurushwa.
Mkuu, alitaka auchukue mtambo wa nyuklia aurudishe kwenye miliki ya Ukraine.Hivi akili za Zelensky zikoje!! Aliwatuma makomandoo ili wa pre empty kitu gani strategically??
Yaani Serikali ya Zelensky inapelekeshwa puta na ushauri mbovu na wakitoto kutoka kwa washauri wa Kimerikani - wanampoteza tu, lakini yeye hana habari anajiona anatetewa na a mega super power consequently nothing can go terribly wrong kwa upande wa Zelensky - kumbe hiyo si kweli hata kidogo, chukulia mfano wa Merikani kumshauri kwamba jeshi la Zelensky lifanye mashambulizi ya kushtukiza kujaribu kukomboa jimbo la Kherson - walipo fanya makosa ya kuvamia Kherson matokeo yake wanajeshi wa Ukraine na mamuluki wame uwawa kwa wingi mithili ya kumbikumbi, zana zao za vita zitachakazwa vikali sana, mpaka sasa wanajilahumu kwamba kuna wasaliti kwenye jeshi la Ukraine wanao vujisha siri za strategy za war planners wa jeshi la Ukraine siri hizo wanapewa jeshi la Urusi - wanasahau kwamba Urusi yenyewe ndio inawawekea mtego jeshi la Ukraine ili waingie kichwa kichwa kwenye mtego mwisho wa siku wamejikuta jeshi lao na zana zao za kivita vyote vinafyekelewa mbali.
Yaani mpaka sasa hawa amini kilicho wapata - kama kawaida yao vyombo vya habari vya magharibi pamoja na social media zao wanazungumza mambo tofauti kabisa kuhusu suala la Kherson hawataki kukiri kwamba Wamerika waliwa mis-lead jeshi la Zelensky kujaribu kuivamia jimbo la Kherson, lakini maskini kahambulia patupu.
Kama Urusi ndo ingekuwa Marekani, basi tungeshuhudia action movies kibao zikitolewa kuzungumzia namna wanajeshi wa Marekani walivyowatandika wanajeshi waNazi mamboleo wa Ukraine na kuwateka zaidi ya 2500.Ile ya wanajeshi 2000 kushikwa mateka aisee ilikuwa ni aibu ya mwaka kwa Ukraine na washirika wake. Ile battle ya mariupol ilikuwa ni legendary, jinsi wakreni walivyokuwa wanailinda mariupol lkn bado ikaanguka inashangaza sana.
Bado watu wanazidi kusonga huko mykolaiv. Hadi October utasikia wajuba wamefika Odessa.
Huyo akili Hana [emoji1787]Kuwa seriaz basi Decoy za mbao kweli ??? na wewe unaamini unajua kwamba Russia anatumia satelite pictures kabla hajarusha makombora yake??
Akili mtu wangu 🥱[emoji28][emoji28]Game changer mnashindwa kurudisha hata kata 1 nchini mwenu.......hio kweli game changer
Kama unafikiri zele boy na magaidi wake Wana akili umekosea sana,ndio maana Mzee Baba anataka kuzirejesha akili zao kwenye mihimili zake🤸🤸🤸Huu mtandao wa kurusha propaganda za Russia nimeuchoka ,ule mtambo huwez Fanya uvamiz wakati unajua fika wakaguzi wa UN ndio wametia timu ,hizo habar ni upotoshaji mkubwa ,pia uelewe Russia wameweka kambi kubwa hapo ina wanajeshi zaid ya 2000 wakiwemo snipers, makomando,na attaching team ,huo ujinga Ukraine hawez Fanya
matusi kisa Urusi , umeolewa na mrusi nini ?Dogo kwani umeshikiwa bunduki usome habari toka chanzo hicho cha RT News?!
Nenda kasome habari toka TBCs za Marekani ambao hawapo hata vitani...
Tuliza mshono wako, usinipangie vyanzo vya kuchukua habari...
somo la ACTIVE STATEMENT na PASSIVE STATEMENT , lilikupita?Haya sasa, tulia tuliii sindano isikukatikie....nasukuma dawa mbadala [emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]ulizoomba na unazozipendelea toka Marekani (The U.S. News) na Uingereza (Reuters)...
View attachment 2341757View attachment 2341758
TULIZA MSHONO WAKO BIBI AJUZA, kumbuka umetoka KUJIFUNGUA jana tu kwa KISU🔪🔪🔪 (operesheni)...Sasa ukikasirika hovyo na kupata stress nyingi kwa kusemwa vibaya 'MMEO' mMarekani, utasababisha MSHONO wako kufunguka/ kuchanika tena, na kutupa shida sie nduguzo ya kuushikiza MSHONO wako kwa 🧷🧷🧷🧷🧷matusi kisa Urusi , umeolewa na mrusi nini ?
Usikute hao waangalizi wa UN walitumika kuwapumbaza Urusi. Kilichowakuta maji yameitwa mma. Pole yao.Hii itakuwa idea ya USA. Walikuwa wanafikiria Russia watakuwa wapo wanconcentrated kutazama msafara wa wakaguzi alafu wao wafanye yao. Sasa imekula kwako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hoja imeungwa mkono. Ni kipofu tuuuuu atasadikiHuu mtandao wa kurusha propaganda za Russia nimeuchoka ,ule mtambo huwez Fanya uvamiz wakati unajua fika wakaguzi wa UN ndio wametia timu ,hizo habar ni upotoshaji mkubwa ,pia uelewe Russia wameweka kambi kubwa hapo ina wanajeshi zaid ya 2000 wakiwemo snipers, makomando,na attaching team ,huo ujinga Ukraine hawez Fanya
Ila sikirimimimaskini nakufagilia chalii yangu unapambana kweli, big up kamandaMarekani yaripoti kuwa makomandoo 60 wa Ukraine leo asubuhi wamejaribu kufanya shambulio la ghafla la kuukamata mtambo wa nyuklia wa Zaporizhzhia uliopo Ukraine unaomilikiwa na majeshi ya Urusi toka mwezi March. Urusi imewanywa wotee.
Jaribio hilo lililofeli limefanyika wakati wataalamu wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Nyuklia (International Atomic Energy Agency (IAEA)) wakijiandaa kuutembelea mtambo huo wa nyuklia mkubwa zaidi barani Ulaya kushuhudia uharibifu uliofanywa na mashambulizi ya majeshi ya Ukraine dhidi ya mtambo huo.
Pia rejea: Marekani na Zelensky wailalamikia Urusi kuiondoa Kyiv kwenye mgao wa umeme toka kwenye mtambo wa nyuklia wa Zaporizhzhia
====
View attachment 2341750View attachment 2341751View attachment 2341752
huez hata tengeneza nepi yako uko bize kuwaponda waliotoboa , huo ni umamaaaTULIZA MSHONO WAKO BIBI AJUZA, kumbuka umetoka KUJIFUNGUA jana tu kwa KISU[emoji380][emoji380][emoji380] (operesheni)...Sasa ukikasirika hovyo na kupata stress nyingi kwa kusemwa vibaya 'MMEO' mMarekani, utasababisha MSHONO wako kufunguka/ kuchanika tena, na kutupa shida sie nduguzo ya kuushikiza MSHONO wako kwa [emoji3470][emoji3470][emoji3470][emoji3470][emoji3470]