Makomandoo wa IDF waokoa Mateka mmoja akiwa amefichwa kwenye handaki na magaidi ya Hamas

Makomandoo wa IDF waokoa Mateka mmoja akiwa amefichwa kwenye handaki na magaidi ya Hamas

Ritz na Adiosamigo na FaizaFoxy wamejicha 😀😀 😀
Huyo Hamasi walimuonea huruma ni bedui tena mwarabu afu yupo kwenye wale jeshi la reserves. Waliona asije kufa. Sio mbaya kwa mara ya kwanza na kiri wamejitahidi Israel. Lakini hebu watuonyeshe wale majogoo wa Mossad walio chinjwa na drones za Hezbullah. Haswa lile kuti lilo komaa 😄
 
Wadau hamjamboni nyote?

Makomandoo wa IDF wamefanya shambulizi la kushtukiza na kufanikiwa kumuokoa Mateka mmoja ndani ya handaki Leo asubuhi

Kazi hiyo maalumu ilifanywa na kikosi maalumu cha makomandoo wenye weledi mkubwa almaarufu Navy’s elite Shayetet 13 unit.

Hostage Qaid Farhan al-Qadi, 52, rescued by IDF from tunnel in Gaza​

By Emanuel Fabian
Follow
Today, 3:26 pm 10
Farhan Al Qadi has been missing since the morning of Saturday, October 7, 2023 when Hamas terrorists attacked the Israeli communities near the Gaza border (Courtesy Citizens of Bedouin Society Victims Forum in the Negev)
Farhan Al Qadi has been missing since the morning of Saturday, October 7, 2023 when Hamas terrorists attacked the Israeli communities near the Gaza border (Courtesy Citizens of Bedouin Society Victims Forum in the Negev)


An Israeli hostage was rescued by IDF troops from a tunnel in the southern Gaza Strip earlier today, the military announces.
The rescued hostage is Qaid Farhan al-Qadi, 52, from a Bedouin community near the southern city of Rahat, who was working as a guard at a packing factory in Kibbutz Magen on October 7. Al-Qadi was abducted by Hamas terrorists from the nearby community of Mivtahim.


Al-Qadi was found inside a tunnel by commandos of the Navy’s elite Shayetet 13 unit. The operation was led by the IDF Southern Command, the Shin Bet security agency, and the IDF’s 162nd Division.

He is said to be in good health.
It is now believed that 104 of the 251 hostages abducted by Hamas on October 7 remain in Gaza, including the bodies of 34 confirmed dead by the IDF.


Hamas released 105 civilians during a weeklong truce in late November, and four hostages were released before that. Eight hostages have been rescued by troops alive, and the bodies of 30 hostages have also been recovered, including three mistakenly killed by the military as they tried to escape their captors.

Hamas is also holding two Israeli civilians who entered the Strip in 2014 and 2015, as well as the bodies of two IDF soldiers who were killed in 2014.

The IDF says that further details cannot be published at this stage “due to issues of the security of our hostages, the security of our forces, and the security of the state.”

The military describes the rescue operation as “complex.”
Al-Qadi is in good health and is being taken to a hospital for additional checkups, the IDF adds.

Mezee aliyeokolewa ni kobaz swala 7.
 
Huyo Hamasi walimuonea huruma ni bedui tena mwarabu afu yupo kwenye wale jeshi la reserves. Waliona asije kufa. Sio mbaya kwa mara ya kwanza na kiri wamejitahidi Israel. Lakini hebu watuonyeshe wale majogoo wa Mossad walio chinjwa na drones za Hezbullah. Haswa lile kuti lilo komaa 😄
tuletee wewe maana Israel hawana wa kumsingizia mtu kifo kwani Maziko ni lazima... the issue unachukulia uongo wa Hamas unauweka kwa Jews too.. hivi unaamini Gaza Watoto elfu 15 wamededishwa?
 
Hamas wamemwachia huyo free IDF wakampokea kama katika sokoni. Anasema ni mzima wa afya kwa 100% . Ila kama kawaida yetu IDF tunatembea na bit
 
tuletee wewe maana Israel hawana wa kumsingizia mtu kifo kwani Maziko ni lazima... the issue unachukulia uongo wa Hamas unauweka kwa Jews too.. hivi unaamini Gaza Watoto elfu 15 wamededishwa?
Naamini ndio.
 
Muislam swala tano ameokolewa mikononi mwa magaidi baada ya kushikiliwa karibu miezi kumi.
Inadhihirisha kwamba wayahudi ni watu wema na sio wabaguzi kama tunavyoaminisha na magaidi
 
Hamas wamemwachia huyo free IDF wakampokea kama katika sokoni. Anasema ni mzima wa afya kwa 100% . Ila kama kawaida yetu IDF tunatembea na bit
Maneno yako ni kweli ni Hamasi ndio wamemuwachia kutokana na hi tv. na hata magazeti ya Israel yanasema Israel ni waongo si wao walio mkomboa. Hayo magazeti pia yanasema au huyo alikimbia.

Hizi porojo wanaficha majogoo yalio chinjwa na drones za Hezbullah 😄



View: https://youtu.be/bYeNVw_3orM?si=BJfJNiR9cCJgcK9q
 
Maneno yako ni kweli ni Hamasi ndio wamemuwachia kutokana na hi tv. na hata magazeti ya Israel yanasema Israel ni waongo si wao walio mkomboa. Hayo magazeti pia yanasema au huyo alikimbia.

Hizi porojo wanaficha majogoo yalio chinjwa na drones za Hezbullah 😄



View: https://youtu.be/bYeNVw_3orM?si=BJfJNiR9cCJgcK9q

Haaretz Hebraw News wameripoti kuwa ameachiwa na Hamas ila si unajua Tena baba Netanyahu anapambana kujiokoa lazima aseme kuwa IDF ndio wamemuokoa.
 
Muislam swala tano ameokolewa mikononi mwa magaidi baada ya kushikiliwa karibu miezi kumi.
Inadhihirisha kwamba wayahudi ni watu wema na sio wabaguzi kama tunavyoaminisha na magaidi
Kale.matango wewe Israel toka lini walikuwa wa kweli. Huyo kachiwa na Hamasi kisheria alitakiwa auliwe sababu.ni.mwanajeshi wa Israel.
 
Kale.matango wewe Israel toka lini walikuwa wa kweli. Huyo kachiwa na Hamasi kisheria alitakiwa auliwe sababu.ni.mwanajeshi wa Israel.
 
Back
Top Bottom