Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Mimi sina mengi, hii ni taarifa kutoka kwa Pro Ukraine" kutoka huko twitter!
Pia haya makombora yana uwezo wa kubeba mabomu ya nyuklia, makombora haya yanaogopwa sana NATO/USA!
NB: Taifa likikosea kuchagua rais mwenye akili jua anguko lake haliko mbali.
Pia haya makombora yana uwezo wa kubeba mabomu ya nyuklia, makombora haya yanaogopwa sana NATO/USA!
NB: Taifa likikosea kuchagua rais mwenye akili jua anguko lake haliko mbali.