Makombora ya Kanzhal ya Urusi yaendelea kurindima anga la Kyiv Ukraine

Makombora ya Kanzhal ya Urusi yaendelea kurindima anga la Kyiv Ukraine

Mimi sina mengi, hii ni taarifa kutoka kwa Pro Ukraine" kutoka huko twitter!

Pia haya makombora yana uwezo wa kubeba mabomu ya nyuklia, makombora haya yanaogopwa sana NATO/USA!

NB: Taifa likikosea kuchagua rais mwenye akili jua anguko lake haliko mbali.

View attachment 2543108
Hata yakirindima athari ni ipi? unakumbuka russia ilipovamia Kyiv ilikuwaje kwa mabomu, sasa mwaka umeisha Zelensky yupo madhubuti Kyiv wageni hawa na hawa anapokea wewe kwa mtogole ndio unaumia
 
duuh !!Kama ni uchawi wa kuwaloga watu wasijue baya na zuri Basi US ni bingwa!!maana lolote atakalofanya liwe baya au zuri,viumbe wanasema zuriiiiiii.Sijawahi kuskia US anaitwa gaidi ,leo ana halalisha ushoga lkn sijaona watu wakimjia juu kabisaaa!!! angekuwa ndo Putin ana piga promo za ushogga duuuh angeitwa majina yote mabaya !!!
Watakwambia unakula hela zake misaada yake, Hivyo yupo sawa.
 
Nasuburi kusoma comment ya
kp kipanya44 , vunjo na MK254 [emoji4]
Hao wanamgambo wa Ukraine kwa uwingi tunawaita mapanya nawasubiri hapa nivunje shingo zao ..[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]
images-13~3.jpg
 
duuh !!Kama ni uchawi wa kuwaloga watu wasijue baya na zuri Basi US ni bingwa!!maana lolote atakalofanya liwe baya au zuri,viumbe wanasema zuriiiiiii.Sijawahi kuskia US anaitwa gaidi ,leo ana halalisha ushoga lkn sijaona watu wakimjia juu kabisaaa!!! angekuwa ndo Putin ana piga promo za ushogga duuuh angeitwa majina yote mabaya !!!
Umeongea point kubwa sana hii.
Sijui umri wako,lkn inaonesha umekua na akili kubwa kuliko umri wako.
wewe ni tunu ya taifa kwa siku za Leo na siku zijazo.
 
Au USA alipoishambulia Japan na nyuklia hawakusema Ni ugaidi[emoji4]
Hapo Sasa,na hapa ndipo tunatofautiana kwa upeo wa kuelewa mambo.
Hiroshima na Nagasaki waliuliwa sio TU wanajeshi,Bali wazee,walemavu,Wana wake na watoto,
Mbwa nyau,ngome,mbuzi,kuku na bata,
Miche,mimea ,miti,mito samaki,vyura na na senene.
Hakuna kilichobaki salama.
Lkn yote hayo ndugu zetu hao watakuambia ilikua ni halali.
Njoo Yugoslavia.
Libya.
Iraq, na
Syria.
Huko kote. Watakuambia walistahili kufanyiwa hayo na hakuna Ugaidi ulipofanyika.

Double standard,double standard.
Ama kweli Marekani anajua kuroga.
 
Ugaidi tu huu, wanashambulia tu makazi ya raia na miundombinu muhimu kama vituo vya umeme baada ya kushindwa kupata mafanikio kwenye uwanja wa Vita.
Mafanikio yapi wahitaji we kichwa maji?

Na ulitaka ashambulie wapi?
Mpaka aende kwenu
 
Kha hunijui, Ukraine wamnipa ubabe sana kwenye hivi vita, Mrusi amedhihirisha alivyo dhaifu, kwanza ameshindwa kupiga maeneo ya kijeshi anapiga uraiani na makombora yake halafu nashangaa maustadhi mnaendelea kumuabudu.
Alwaaa wakibari
 
Ugaidi tu huu, wanashambulia tu makazi ya raia na miundombinu muhimu kama vituo vya umeme baada ya kushindwa kupata mafanikio kwenye uwanja wa Vita.
Kwahiyo wanajeshi wa Ukraine wanalinda uwanja wa vita badala ya raia na Mali zao ikiwemo miundombinu? Nashauri wabalishe katiba maana duniani majeshi yanalinda mipaka ya nchi na vilivyomo ndani ya nchi.
 
Back
Top Bottom