Makombora ya Kanzhal ya Urusi yaendelea kurindima anga la Kyiv Ukraine

Upepo wa Pesa

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
21,600
Reaction score
35,158
Mimi sina mengi, hii ni taarifa kutoka kwa Pro Ukraine" kutoka huko twitter!

Pia haya makombora yana uwezo wa kubeba mabomu ya nyuklia, makombora haya yanaogopwa sana NATO/USA!

NB: Taifa likikosea kuchagua rais mwenye akili jua anguko lake haliko mbali.

 

Attachments

  • Screenshot_20230309-142717_Twitter.jpg
    53.7 KB · Views: 6
Ugaidi tu huu, wanashambulia tu makazi ya raia na miundombinu muhimu kama vituo vya umeme baada ya kushindwa kupata mafanikio kwenye uwanja wa Vita.
 
Ugaidi tu huu, wanashambulia tu makazi ya raia na miundombinu muhimu kama vituo vya umeme baada ya kushindwa kupata mafanikio kwenye uwanja wa Vita.
duuh !!Kama ni uchawi wa kuwaloga watu wasijue baya na zuri Basi US ni bingwa!!maana lolote atakalofanya liwe baya au zuri,viumbe wanasema zuriiiiiii.Sijawahi kuskia US anaitwa gaidi ,leo ana halalisha ushoga lkn sijaona watu wakimjia juu kabisaaa!!! angekuwa ndo Putin ana piga promo za ushogga duuuh angeitwa majina yote mabaya !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…