yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,530
- 1,961
Bhangi bhana!,uwanja wa vita upo nchi gn?,na Russia anapiga nchi gn?,Ugaidi tu huu, wanashambulia tu makazi ya raia na miundombinu muhimu kama vituo vya umeme baada ya kushindwa kupata mafanikio kwenye uwanja wa Vita.
Kumbe ni vita muraa! Kongole sana kwa UkraineBhangi bhana!,uwanja wa vita upo nchi gn?,na Russia anapiga nchi gn?,
Wametaka ngumi ila wakipigwa usoni wanasema wanaonewa, a cha wapigwe tuUwanja upo huko maporini sio kwenye makazi ya watu
Tulia wewe kila cku uarabuni na Afrika tu wacha mwaka huu wauane wenyewe kwa wenyewe ulayaUgaidi tu huu, wanashambulia tu makazi ya raia na miundombinu muhimu kama vituo vya umeme baada ya kushindwa kupata mafanikio kwenye uwanja wa Vita.
Hata yakirindima athari ni ipi? unakumbuka russia ilipovamia Kyiv ilikuwaje kwa mabomu, sasa mwaka umeisha Zelensky yupo madhubuti Kyiv wageni hawa na hawa anapokea wewe kwa mtogole ndio unaumiaMimi sina mengi, hii ni taarifa kutoka kwa Pro Ukraine" kutoka huko twitter!
Pia haya makombora yana uwezo wa kubeba mabomu ya nyuklia, makombora haya yanaogopwa sana NATO/USA!
NB: Taifa likikosea kuchagua rais mwenye akili jua anguko lake haliko mbali.
View attachment 2543108
Hapa anataka ampe dawa ya meno maana mapangoni walimojificha meno yashakuwa ya yanga.Anachonifurahisha Putin
Anatoa dozi kutokana na Hali ya mgonjwa [emoji4]View attachment 2543403
Watakwambia unakula hela zake misaada yake, Hivyo yupo sawa.duuh !!Kama ni uchawi wa kuwaloga watu wasijue baya na zuri Basi US ni bingwa!!maana lolote atakalofanya liwe baya au zuri,viumbe wanasema zuriiiiiii.Sijawahi kuskia US anaitwa gaidi ,leo ana halalisha ushoga lkn sijaona watu wakimjia juu kabisaaa!!! angekuwa ndo Putin ana piga promo za ushogga duuuh angeitwa majina yote mabaya !!!
Hao wanamgambo wa Ukraine kwa uwingi tunawaita mapanya nawasubiri hapa nivunje shingo zao ..[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]
Shida kweli hawa jamaaAu USA alipoishambulia Japan na nyuklia hawakusema Ni ugaidi[emoji4]
Mbona unaandika kinyonge sana??Kwamba nini haswa maana hamna jipya, tunafika Crimea maana huko ndiko yalianzia.....takbir
Hata yakirindima athari ni ipi?
Umeongea point kubwa sana hii.duuh !!Kama ni uchawi wa kuwaloga watu wasijue baya na zuri Basi US ni bingwa!!maana lolote atakalofanya liwe baya au zuri,viumbe wanasema zuriiiiiii.Sijawahi kuskia US anaitwa gaidi ,leo ana halalisha ushoga lkn sijaona watu wakimjia juu kabisaaa!!! angekuwa ndo Putin ana piga promo za ushogga duuuh angeitwa majina yote mabaya !!!
Hapo Sasa,na hapa ndipo tunatofautiana kwa upeo wa kuelewa mambo.Au USA alipoishambulia Japan na nyuklia hawakusema Ni ugaidi[emoji4]
Mafanikio yapi wahitaji we kichwa maji?Ugaidi tu huu, wanashambulia tu makazi ya raia na miundombinu muhimu kama vituo vya umeme baada ya kushindwa kupata mafanikio kwenye uwanja wa Vita.
Mbona unaandika kinyonge sana??
Alwaaa wakibariKha hunijui, Ukraine wamnipa ubabe sana kwenye hivi vita, Mrusi amedhihirisha alivyo dhaifu, kwanza ameshindwa kupiga maeneo ya kijeshi anapiga uraiani na makombora yake halafu nashangaa maustadhi mnaendelea kumuabudu.
Kwahiyo wanajeshi wa Ukraine wanalinda uwanja wa vita badala ya raia na Mali zao ikiwemo miundombinu? Nashauri wabalishe katiba maana duniani majeshi yanalinda mipaka ya nchi na vilivyomo ndani ya nchi.Ugaidi tu huu, wanashambulia tu makazi ya raia na miundombinu muhimu kama vituo vya umeme baada ya kushindwa kupata mafanikio kwenye uwanja wa Vita.