Naona Makonda amechukua mwelekeo ambao utarahisisha kazi yake, mwelekeo wa kwenda pamoja na wadudu (masela,) wa Arusha.
Masela (aka wadudu) wa Arusha ni wababe hakuna mfano. Ndiyo maana RC kaamua kukaa nao na kufuata wanachotaka. Mkoa gani masela wamewahi kukaa na RC?
Wadudu hoyeeee!
Sasa ajenda ya wadudu itakuwa moja tu kwa RC Makonda, nayo ni "hatutaki maroroso Arusha". Mambo ya kutekana na kuuana hatuta.......ki.
Masela (aka wadudu) wa Arusha ni wababe hakuna mfano. Ndiyo maana RC kaamua kukaa nao na kufuata wanachotaka. Mkoa gani masela wamewahi kukaa na RC?
Wadudu hoyeeee!
Sasa ajenda ya wadudu itakuwa moja tu kwa RC Makonda, nayo ni "hatutaki maroroso Arusha". Mambo ya kutekana na kuuana hatuta.......ki.