Watakuwa na majamboa kiunoni, wala usihogu kwa hilo. Wadudu wamejipanga.Wadudu tahadhari muwe nayo siomchezo
ahahaa yaani kuna ze duduz pale ungalimited na matejo cyo poa,bashite kazi anayoNaona Makonda amechukua mwelekeo ambao utarahisisha kazi yake, mwelekeo wa kwenda pamoja na wadudu (masela,) wa Arusha.
Masela (aka wadudu) wa Arusha ni wababe hakuna mfano. Ndiyo maana RC kaamua kukaa nao na kufuata wanachotaka. Mkoa gani masela wamewahi kukaa na RC?
Wadudu hoyeeee!
Sasa ajenda ya wadudu itakuwa moja tu kwa RC Makonda, nayo ni "hatutaki maroroso Arusha". Mambo ya kutekana na kuuana hatuta.......ki.
View attachment 2958508
ahaha ila machali ya arusha bhana wana ka flavor flani kwa misemo yao,ni watu wa codes sanaWadudu wajipange......