Pre GE2025 Makonda adai kuwindwa na Watu 8

Pre GE2025 Makonda adai kuwindwa na Watu 8

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mkuu wa Mkoa Paulo Makonda, amedai kwamba kuna watu 8 wamelipwa hela ndogo ya mil 6 za madafu ili kumuwinda.

Bali Hakusema wakishamuwinda na kumdaka watamfanya nini.

Ujumbe wake huu hapa
---

Nimepata taarifa hapa ya raia mwema tu kanitumia ujumbe ananiambia Mheshimiwa maliza mkutano usiku umeingia. Nikamwambia kwanini? Akasema unawindwa mno na hata hapo Arusha kuna watu nane na wamelipwa Milioni sita kwaajili ya kufanya maangamizi. Maliza mkutano nenda nyumbani.

Pia soma: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
 
Mkuu wa Mkoa mwenye vituko zaidi na mtafuta Kiki zaidi Tangu kuundwa kwa Cheo hicho Nchini Tanzania na Wakoloni, Bwana Paulo Makonda(zamani Daudi Bashite), amedai kwamba kuna watu 8 wamelipwa hela ndogo ya mil 6 za madafu ili kumuwinda.

Bali Hakusema wakishamuwinda na kumdaka watamfanya nini.

Ujumbe wake huu hapa

View attachment 3002307View attachment 3002309
😂😂😂😂😂😂😂Aiseh
 
Mkuu wa Mkoa mwenye vituko zaidi na mtafuta Kiki zaidi Tangu kuundwa kwa Cheo hicho Nchini Tanzania na Wakoloni, Bwana Paulo Makonda(zamani Daudi Bashite), amedai kwamba kuna watu 8 wamelipwa hela ndogo ya mil 6 za madafu ili kumuwinda.

Bali Hakusema wakishamuwinda na kumdaka watamfanya nini.

Ujumbe wake huu hapa

View attachment 3002307View attachment 3002309
Public Sympathy
 
Mkuu wa Mkoa mwenye vituko zaidi na mtafuta Kiki zaidi Tangu kuundwa kwa Cheo hicho Nchini Tanzania na Wakoloni, Bwana Paulo Makonda(zamani Daudi Bashite), amedai kwamba kuna watu 8 wamelipwa hela ndogo ya mil 6 za madafu ili kumuwinda.

Bali Hakusema wakishamuwinda na kumdaka watamfanya nini.

Ujumbe wake huu hapa

View attachment 3002307View attachment 3002309
Kumbe Watu8 unamuwinda Makonda kimyakimya huko Arusha?
 
Back
Top Bottom