Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
πππππππAisehMkuu wa Mkoa mwenye vituko zaidi na mtafuta Kiki zaidi Tangu kuundwa kwa Cheo hicho Nchini Tanzania na Wakoloni, Bwana Paulo Makonda(zamani Daudi Bashite), amedai kwamba kuna watu 8 wamelipwa hela ndogo ya mil 6 za madafu ili kumuwinda.
Bali Hakusema wakishamuwinda na kumdaka watamfanya nini.
Ujumbe wake huu hapa
View attachment 3002307View attachment 3002309
Public SympathyMkuu wa Mkoa mwenye vituko zaidi na mtafuta Kiki zaidi Tangu kuundwa kwa Cheo hicho Nchini Tanzania na Wakoloni, Bwana Paulo Makonda(zamani Daudi Bashite), amedai kwamba kuna watu 8 wamelipwa hela ndogo ya mil 6 za madafu ili kumuwinda.
Bali Hakusema wakishamuwinda na kumdaka watamfanya nini.
Ujumbe wake huu hapa
View attachment 3002307View attachment 3002309
Ulinzi ni wa Mungu tu boss, kuna viongozi duniani waliuwawa na walinzi waoAongezewe Ulinzi πΌ
Rais Mkapa alimpa Ulinzi maalumu shujaa Magufuli π
Rais wa Irani alikuwa na analindwa na Miltary Jet sembuse ulinzi wa mitulinga?Ulinzi ni wa Mungu tu boss, kuna viongozi duniani waliuwawa na walinzi wao
Binadamu hakulindi baba
Usimjaribu bwana Mungu wako! πUlinzi ni wa Mungu tu boss, kuna viongozi duniani waliuwawa na walinzi wao
Binadamu hakulindi baba
Unaona eehRais wa Irani alikuwa na analindwa na Miltary Jet sembuse ulinzi wa mitulinga?
Ebrahim alikuwa anatumia helicopter ya mwaka 1971Rais wa Irani alikuwa na analindwa na Miltary Jet sembuse ulinzi wa mitulinga?
Sympathy eti πMakonda ni bingwa wa content hapoi. Anataka muda wote mumtaje π
Hata mkimpa nafasi ya mwenyekiti wa mtaa atawafunika hadi mawaziriMakonda ni bingwa wa content hapoi. Anataka muda wote mumtaje π
Kumbe Watu8 unamuwinda Makonda kimyakimya huko Arusha?Mkuu wa Mkoa mwenye vituko zaidi na mtafuta Kiki zaidi Tangu kuundwa kwa Cheo hicho Nchini Tanzania na Wakoloni, Bwana Paulo Makonda(zamani Daudi Bashite), amedai kwamba kuna watu 8 wamelipwa hela ndogo ya mil 6 za madafu ili kumuwinda.
Bali Hakusema wakishamuwinda na kumdaka watamfanya nini.
Ujumbe wake huu hapa
View attachment 3002307View attachment 3002309
Na kapewa milioni 6Kumbe Watu8 unamuwinda Makonda kimyakimya huko Arusha?
πππ Hivi bado wapi hajaenda kushoot??Sympathy eti π
Bado kulia kanisani