Makonda adaiwa kwenda South Africa kwa mara nyingine tena

Kwani kuna tatzo gani yy kwenda huko? Kama amefata taratibu zote wala haipo shida,kikubwa wivu ndio unatusumbua sie watz tulio weng,mda wote we talk about people and not ideas
 
Duh!!![emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]
 
Mkuu punguza roho ya chuki na visasi. Binadamu huhukumiwa kwa mema na mabaya yake. Sitaki kuamini kwamba hakuna kitu cha maana ambacho huyu dogo anakifanya, ambacho kitakuja kukumbukwa mbeleni.
 
South Afrika waliwahi kuweka hadharani suala la uchawi ya kuwa wanataka kifundishwe chuo kikuu kama zilivyo kozi nyingine, pengine huko ndo bashite anakopayia kiki ya jufanya mambo yake
Bashite kwa sasa ni kigagula anapaa na ungo hata akiwa South Africa usiku anakuja Dsm na kurejea anamiliki waganga wa kienyeji zaidi ya 200 kazi yao ni kumlinda msukuma mwenzake na kuwaroga wengine anaowaona wanampinga
 
Kwani kuna tatzo gani yy kwenda huko? Kama amefata taratibu zote wala haipo shida,kikubwa wivu ndio unatusumbua sie watz tulio weng,mda wote we talk about people and not ideas
Mbona yy Bashite alitumia mda mwingi kuongelea watu kwenye list ya blackmail iweje yy asihojiwe kwa safari zake za kwenda kuuza unga alioukamata kipindi kile.
 
Mange anasemaje kuhusu safari ya Makonda?
 
Kama unaweza kufuatilia maisha ya watu wengine kila kukicha yawezekana yako yamekushinda ndiyo maana unakuwa na muda wa kuchunguza ya wengine, ushauri wangu FANYA YAKO
 
Mbona yy Bashite alitumia mda mwingi kuongelea watu kwenye list ya blackmail iweje yy asihojiwe kwa safari zake za kwenda kuuza unga alioukamata kipindi kile.
Mkuu hapo haumuhoji bash unaihoji jf wala sio yy
 
Du, kama ndo kafikia hatua hiyo, basi bashite hashikiki
 
Kaenda kwa boyfriend wake ni mzulu
 
Hiyu jamaa huwa unamuota eeeh!
 
Chige wanaodeal na sembe pretoria huyo Kinje ni cha mtoto wapo wanaoishi kama wapo mexico huyo kinje anatumwa na hao vijana...swala nalosema na ntalisimamia Bashite hawezi kwenda kwa madiba kule mnamalizana popote pale nakuhakikishia hilo anaweza akaondoka na SA airways hapa pale anapita transit tuu labda anaenda Australia au sehemu ingine...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…