Makonda ageuka kuwa mhudumu kwenye treni ya mwendo kasi. Uhudumu anauweza pia

Makonda ageuka kuwa mhudumu kwenye treni ya mwendo kasi. Uhudumu anauweza pia

Makonda ageuka kuwa mhudumu kwenye treni ya mwendo kasi

View attachment 3227721
hiyo mikono amenawa? atalisha watu uchafu hapo. tunajua wahudumu wamejiswafi na wana ujuzi wa uhudumu, mtu anatoka tu huko kapanda treni, anatuma taarifa kwamba mimi nataka nionekane kituko, nitahudumia watu vinywaji hapa. kwasababu wewe ni mkuu wa mkoa wanakuogopa, wanasema sawa, unakuja na mamikono yako ya kisukuma vilevile, mavazi yaleyale, huna lolote. bashite sijui atapata lini akili.
 
hiyo mikono amenawa? atalisha watu uchafu hapo. tunajua wahudumu wamejiswafi na wana ujuzi wa uhudumu, mtu anatoka tu huko kapanda treni, anatuma taarifa kwamba mimi nataka nionekane kituko, nitahudumia watu vinywaji hapa. kwasababu wewe ni mkuu wa mkoa wanakuogopa, wanasema sawa, unakuja na mamikono yako ya kisukuma vilevile, mavazi yaleyale, huna lolote. bashite sijui atapata lini akili.
Jaribuni kuwa na heshima kwa watu. Visirani vya nyumbani kwenu kwa wazazi wenu msiwe mnavieta kwenye public. Unaonekana umelewa kwenye mazingira ya kisirani sana
 
Jaribuni kuwa na heshima kwa watu. Visirani vya nyumbani kwenu kwa wazazi wenu msiwe mnavieta kwenye public. Unaonekana umelewa kwenye mazingira ya kisirani sana
kisirani gani sasa hapo, unafikiri kilichomfanya ahudumie hapo ninini kama sio kutatufa sifa ambayo hata hajaipata, ulishawahi kuona nchi gani kuna kiongozi amefanya huo ujinga? ameajiriwa na TRC? NO, anajua conditions za kazi, ethics za kazi, mtu akila akaugua wamshitaki nani hapo, yeye au TRC? shida yenu mnaomsapoti huyu akili zenu zinakuwaga zero brain kama yeye, hata vyeti vyenu mtakuwa mmefoji kama yeye, you don't think wala kureason. nini bashite alishawahi kufanya kikafanikiwa zaidi ya landlover za arusha? mention even one, msimtetee, acheni tumkosoe.
 
Kwa kitendo hicho cha kugawa chai kwenye SGR,kuna wajinga watasema anafaa kuwa Rais.
of course hii ndio kazi ya level yake kwa uwezo wake, huko walikompeleka wamepoteza tu nafasi. alitakiwa kuwa mhudumu wa mgahawa huyu.
 
Makonda ageuka kuwa mhudumu kwenye treni ya mwendo kasi

View attachment 3227721
Hakuna kosa. Hatta nchi za ulaya viongozi hujishusha na kufanya kazi za chini.
Prime minister wa canada alimwaga Coffee.
Alichukuwa mop akafuta yeye mwenyewe.

Huo ndio uongozi.
Katika Uislamu kuna hadithi ya Mtume Muhammad SAW.
Alikuja mtu akakojoa msikitini, watu wakataka kumpiga kazuwiya.
Akasema muacheni amalize na alipo maliza . Yeye bwana mtume akaenda kuchota maji na kusafisha.
 
hiyo mikono amenawa? atalisha watu uchafu hapo. tunajua wahudumu wamejiswafi na wana ujuzi wa uhudumu, mtu anatoka tu huko kapanda treni, anatuma taarifa kwamba mimi nataka nionekane kituko, nitahudumia watu vinywaji hapa. kwasababu wewe ni mkuu wa mkoa wanakuogopa, wanasema sawa, unakuja na mamikono yako ya kisukuma vilevile, mavazi yaleyale, huna lolote. bashite sijui atapata lini akili.
Kuna chuki ya wazi kwenye haya maneno yako. Yesu alituagiza tupendane, sio tuchukiane.
 
Makonda ageuka kuwa mhudumu kwenye treni ya mwendo kasi

View attachment 3227721
Hivi nchii imewai kuwa na mkuu wa mkoa mwenye vituko kama Makonda, ,Mzee wangu wa Toronto alikua na vituko ila vyenye tija ,katika kutumikia wananchi , ila uyu Makonda ni shida aisee.

Kwani angetulia na kuhudumiwa angepungukiwa nini, na lengo la hii ilikua nini?

Kuonesha watu kwa ni mtu wa watu. ...jibu no
Kutafuta kiki.......nayo nakataa kama ndivyo hesabu zake haziko sahii
 
Back
Top Bottom