Makonda ageuka kuwa mhudumu kwenye treni ya mwendo kasi. Uhudumu anauweza pia

Makonda ageuka kuwa mhudumu kwenye treni ya mwendo kasi. Uhudumu anauweza pia

kisirani gani sasa hapo, unafikiri kilichomfanya ahudumie hapo ninini kama sio kutatufa sifa ambayo hata hajaipata, ulishawahi kuona nchi gani kuna kiongozi amefanya huo ujinga? ameajiriwa na TRC? NO, anajua conditions za kazi, ethics za kazi, mtu akila akaugua wamshitaki nani hapo, yeye au TRC? shida yenu mnaomsapoti huyu akili zenu zinakuwaga zero brain kama yeye, hata vyeti vyenu mtakuwa mmefoji kama yeye, you don't think wala kureason. nini bashite alishawahi kufanya kikafanikiwa zaidi ya landlover za arusha? mention even one, msimtetee, acheni tumkosoe.
Unamawazo ya kimaskini sana... Na wivu wa kishamba
 
Kuna chuki ya wazi kwenye haya maneno yako. Yesu alituagiza tupendane, sio tuchukiane.
ni muhimu sana, kama unaamini wewe ni mtu wa haki, kutaja ubaya ni ubaya na wema ni wema. mtu mbaya ni mtu mbaya, na mtu mwema ni mtu mwema. mtu mwovu, mnafiki, aliyeumiza mioyo ya watanzania wengi, mwenye tuhuma za kuua watu, mwenye ushahidi wa kupora magari na mali za watu, kupora nyumba, unatakiwa kumtaja kwa jina lake analostahili. Unakumbuka Yesu alipoambiwa Herode anataka kumdhuru alisemaje? Alimwita herode ni mbweha, kwasababu aliikuwa na moyo mchafu kama wa kwenu huo, wa uuaji, wa utekaji, na kuonea nafsi za watu. hakuna asiyejua ukatili wa bashite, ni wewe tu na akili yako na wote wenye akili kama ya kwako, na ni kwa sababu hayajakukuta, kuna siku yatakukuta hakika ndio utajua hapa duniani kuna watu wanaonewa sana. ninyi ndio mbweha pamoja na bashite na watekaji wote wa nchi hii. aibu iwakute na kuwafukuzia popote mtakapokuwepo maisha yenu yote.

Luka 13:32​

Akawaambia, Nendeni, mkamwambie yule mbweha, Tazama, leo na kesho natoa pepo na kuponya wagonjwa, siku ya tatu nakamilisha kazi yangu.
 
Hii inalisaidiaje taifa letu?
 
ni muhimu sana, kama unaamini wewe ni mtu wa haki, kutaja ubaya ni ubaya na wema ni wema. mtu mbaya ni mtu mbaya, na mtu mwema ni mtu mwema. mtu mwovu, mnafiki, aliyeumiza mioyo ya watanzania wengi, mwenye tuhuma za kuua watu, mwenye ushahidi wa kupora magari na mali za watu, kupora nyumba, unatakiwa kumtaja kwa jina lake analostahili. Unakumbuka Yesu alipoambiwa Herode anataka kumdhuru alisemaje? Alimwita herode ni mbweha, kwasababu aliikuwa na moyo mchafu kama wa kwenu huo, wa uuaji, wa utekaji, na kuonea nafsi za watu. hakuna asiyejua ukatili wa bashite, ni wewe tu na akili yako na wote wenye akili kama ya kwako, na ni kwa sababu hayajakukuta, kuna siku yatakukuta hakika ndio utajua hapa duniani kuna watu wanaonewa sana. ninyi ndio mbweha pamoja na bashite na watekaji wote wa nchi hii. aibu iwakute na kuwafukuzia popote mtakapokuwepo maisha yenu yote.

Luka 13:32​

Akawaambia, Nendeni, mkamwambie yule mbweha, Tazama, leo na kesho natoa pepo na kuponya wagonjwa, siku ya tatu nakamilisha kazi yangu.
Total nutcase.
 
Back
Top Bottom